spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Hayo magimbi ulokula utotoni ndugu yangu yamekupa CPChakula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo magimbi ulokula utotoni ndugu yangu yamekupa CPChakula
Shabani au Iringo hahaa!Dah! Kitambo anaitwa Nuru enzi hzo Azimio p/s aliuteka Sana moyo bila kumuona yeye siku haishi vizur
NicholausShabani au Iringo hahaa!
Wooow...! Hebu tupe stori kidogo mkuu, mlikua mnasoma wote? Mkaanza ma love tokea mkiwa wadogo? I hope unainjoi sana ndoa, maana ni wachache sana wanaopata bahati ya kuoa au kuolewa na crushes waoCrush wangu wa utotoni ndio mume wangu
Hahahaaaa story siku ingine.Wooow...! Hebu tupe stori kidogo mkuu, mlikua mnasoma wote? Mkaanza ma love tokea mkiwa wadogo? I hope unainjoi sana ndoa, maana ni wachache sana wanaopata bahati ya kuoa au kuolewa na crushes wao
Dah crush wangu nilisoma nae primary ,wote tulijua tunapendana ila utoto mwingi et tulikuja kuchapana nshamaliza chuo ,sio mbaya ndoto yangu imetimia japo siwezi kumuoaAsikwambie mtu, yule crush wa utotoni hasa mara nyingi inakua shule ya msingi ni mapenzi ambayo yanavuruga sana hasa ukizingatia mara nyingi mtu mabae unampenda anakua hana ata habari au aanajua unampenda ila hana habari na wewe yuko busy na yeye na crush wake.
Nakumbuka nilipokua darasa wa tano ndo nilikua na crush huyo then kwao alikua kuna duka, bas kama siku sijaenda shule na sijamuina ni lazima nitoke nikamuone hata kama sikua na nia ya kununua kitu, bahati mabaya ilikua ni kijijini kwao hadi ufike unapita kwenye mapoli ila ilikua niko radhi, nakumbuka kuna siku nyingine nakwenda dukani usiku ili nimuone lakini nikitifika unakuta hayuko dukani unakuta mama yake au ndugu zake wengine, ila hata nikisia sauti yake tu huko ndani basi nakua na furaha.
Sikuwahi kumueleza kua nampenda mana nilikosa lakusema nilipokua karibu yake, now ameolewa na hatuna mawasiliano ila mpaka sasa sijawai kuona ile hali tena.
Hakika yale yalikua true unconditional love.
Kweli kabisa hujakosea Mwana!!! Daa!! Nilikuwa nako! bana kanaitwa Josephina Shana kabinti ka Daktari wa kijiji, Hukooo Tarime sehemu moja inaitwa Kibumaye, hakika Jose ulinikaa moyoni bwana wee! uko wapi Baby!!! nilikapenda hako ni hakuna tena kijiji kizima!!Mkuu yale mapenzi ni mapenzi ya kipekee sana, bahati mbaya wengi wa macrush wale huwa ni ngumu kua ano