teh teh sasa huko ulikuwa unajenga kambi za al-shabaah nini?Mi nilikua somalia
teh teh sasa huko ulikuwa unajenga kambi za al-shabaah nini?
Ngoja nimdeep ChagonjaYah octoba itaamia Tz
Ngoja nimdeep Chagonja
Duh sisi hatumjuiii
Nimekumbuka Hadithi ya Binti Chura na Ua Jekundu.
Saa 8 na dk 2 mchana jumamosi hubanduki pembeni ya redio kweli tumetoka mbali hadithi nzuri sana
Daah umenikumbusha mbali sana unakumbuka hadithi ya akajase mbamba na ua jekundu, binti chura, n.k