Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,860
Nimekutana Mlimani tv na mahojiano ya mtangaziji wa zamani sana Radio tanzania "RTD" anaitwa Debora mwenda dah huyu mama sasa ni mzee na sasa hivi anamiliki shule ya msingi bahari beach
Ki ukweli nilivutika sana enzi hizo na vipindi vyake hususani vile vya "Chei chei" na "Mama na mwana
Anasema amestaafu mwaka wa 1995 ana watoto 4 kwa sasa
Yapi mnayokumbuka enzi ya vipindi vya bibi huyu?sio mbaya tukikumbushana hapa ilikuwaje na ulikuwa wapi enzi hizo?Tv alikuwa anaangalia mwalimu nyerere tu.
Ki ukweli nilivutika sana enzi hizo na vipindi vyake hususani vile vya "Chei chei" na "Mama na mwana
Anasema amestaafu mwaka wa 1995 ana watoto 4 kwa sasa
Yapi mnayokumbuka enzi ya vipindi vya bibi huyu?sio mbaya tukikumbushana hapa ilikuwaje na ulikuwa wapi enzi hizo?Tv alikuwa anaangalia mwalimu nyerere tu.