Ila sio woteWazungu,watoto wa kiarabu huwa wazuri kweli wakiwa wadogo wakikua sasa looo[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kuwa member wa JF tayari unajadili watu na Hoja
Unamsemea Robert Patrick...bado anaigiza ila ni Mtu mzima sana sasaIla lile lijamaa la kwenye terminator 2 ni noma aisee.... Yule demu wa terminator 3 halifikii kwa ukauzu.... Kama una picha yake ya sasa na yenyewe iweke..
Daah huyu mwamba alijua kututekaUnamsemea Robert Patrick...bado anaigiza ila ni Mtu mzima sana sasa
View attachment 1315385View attachment 1315386
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhNa yule mtoto aliyeigiza kama Calvin kwny movie ya home ndio huyo hapo.
Drugs ni noma.View attachment 1314541View attachment 1314542
dodge
Hope you Good
"Never mind who you thought I was—I'm Rick James, b**ch!"Cocaine is the helluva drug