Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 22,719 Reaction score 40,739 Apr 25, 2019 #141 Na mleta mada Mkuu Fidel80 umeishia wapi,long time hujaonekana hapa Jukwaani.
peno hasegawa JF-Expert Member Joined Feb 24, 2016 Posts 14,255 Reaction score 23,949 Jan 26, 2022 #143 blackpepper said: huyo ni Binti wa Daktari Bingwa Mmoja wa Upasuaji anayefanya kazi KCMC Idara ya Upasuaji.Amewahi kutikisa katika ile globu iliyojichukulia umaarrufu then ikapigwa STOP na GAVMEE baada ya kumdhalilisha Prezidaa mmoja maarufu kama JK Click to expand... Daktari Bingwa Mmoja wa Upasuaji anayefanya kazi KCMC Idara ya Upasuaji. Alipata ajali na kufariki
blackpepper said: huyo ni Binti wa Daktari Bingwa Mmoja wa Upasuaji anayefanya kazi KCMC Idara ya Upasuaji.Amewahi kutikisa katika ile globu iliyojichukulia umaarrufu then ikapigwa STOP na GAVMEE baada ya kumdhalilisha Prezidaa mmoja maarufu kama JK Click to expand... Daktari Bingwa Mmoja wa Upasuaji anayefanya kazi KCMC Idara ya Upasuaji. Alipata ajali na kufariki