Unamkumbuka huyu?

Unamkumbuka huyu?

Katt kweli weye ni P.I.M.P; sisi ambao hatukuwahi kufika kule ze uchungu tunashukuru; eti naambiwa jamaa wako chini ya zuria.......
 
huyo ni Binti wa Daktari Bingwa Mmoja wa Upasuaji anayefanya kazi KCMC Idara ya Upasuaji.Amewahi kutikisa katika ile globu iliyojichukulia umaarrufu then ikapigwa STOP na GAVMEE baada ya kumdhalilisha Prezidaa mmoja maarufu kama JK
 
Jamani Ze utamu bora irudi, ilikuwa inatoa burudani sana! Yaani kuna blogger mmoja aliniambia kwamba alishukuru baada ya ze utamu kufungwa kwa kuwa ilikuwa inafunika bloggers wote wa kibongo!
 

miss_tanzania_2007_800x600.jpg
Miss-Tanzania.gif


Hizo picha hamna tofauti kabisa na za Nsia Swai. Ila sema Nsia Swai yeye ana umbo la KIKE.​

Ndugu yangu ulowatoa hapo wana maumbo ya KIUME; Ndugu zao wataandamana kukushitaki!
 
Yule mwanamke aliepiga picha z uchi akiwa na wanaume mbali mbali
na kuonekana kwenye mitandao mingi ikiwemo jf NSIA SWAI mwanafunzi aliekuwa
akisoma mwanza..ameonekana katika moja ya majaji wa MISS tanzania kitongoji
ARUSHA pale naura springs hotel

akuna alieamini lakini ukweli unabaki kuwa ulivyo kwamba yule dada pale mbele ndie
alietuzallilisha arusha nzima br..nanukuu mmoja wa watazamaji wa mashindano hayo
yaani kila mtu anajiuliza lakini unajua nini huyu dada ana wazee wake arusha na mmoja
ni mlezi wa hili shindan so kila mtu anakula umbali wa kamba yake.

kwa kweli ni jambo la kusikitisha sana kuona mashindano kama haya yanayoheshimika
sasa yanaonekana ni mashindani ya umalaya na kujiuza..kila mtu analalamika
sasa ukiweka wauza picha za uchi kama hawa si ndio unawaapa watu maneno ya kuongea...kweli lundenga una kazi ndefu nasema ndefu si kidogo......

Naamini saasa Bila umalaya miss tanzania aiwezekani!!!!!!
 
Yule mwanamke aliepiga picha z uchi akiwa na wanaume mbali mbali
na kuonekana kwenye mitandao mingi ikiwemo jf
NSIA SWAI mwanafunzi aliekuwa
akisoma mwanza..ameonekana katika moja ya majaji wa MISS tanzania kitongoji
ARUSHA pale naura springs hotel

akuna alieamini lakini ukweli unabaki kuwa ulivyo kwamba yule dada pale mbele ndie
alietuzallilisha arusha nzima br..nanukuu mmoja wa watazamaji wa mashindano hayo
yaani kila mtu anajiuliza lakini unajua nini huyu dada ana wazee wake arusha na mmoja
ni mlezi wa hili shindan so kila mtu anakula umbali wa kamba yake.

kwa kweli ni jambo la kusikitisha sana kuona mashindano kama haya yanayoheshimika
sasa yanaonekana ni mashindani ya umalaya na kujiuza..kila mtu analalamika
sasa ukiweka wauza picha za uchi kama hawa si ndio unawaapa watu maneno ya kuongea...kweli lundenga una kazi ndefu nasema ndefu si kidogo......

Naamini saasa Bila umalaya miss tanzania aiwezekani!!!!!!

jamani hata kama ni mnyonge haki yake mpeni...una uhakika na maneno yako hasa hapo kwenye red?
 
very interesting kwakweli, haya mambo sikuyamanya hapo kabla
 
Mtoto analipa sana,
Ila siku hizi amepungua sana nahisi ni kwa ajili ya huo ulaji wa Vodacom.
Mapedejee wa A town vp hii ngoma wameilazia damu?
..Fidel, huo mzigo mwingine hapo uliopiga picha na huyo Nsia unaweza kupata contact zake?? Hizo ndio taste zangu mkuu hebu fanya mambo mi mgonjwa sana wa hizo black beauty!!:hug:
 
..Fidel, huo mzigo mwingine hapo uliopiga picha na huyo Nsia unaweza kupata contact zake?? Hizo ndio taste zangu mkuu hebu fanya mambo mi mgonjwa sana wa hizo black beauty!!:hug:

Sajenti umemua kupiga chini ndoa yako baada ya kajimgogoro?
 
hv kapiga picha za ngono au za nusu uchi...... jamani au mi ndio sijui kiswahili ngono na picha za uchi kuna maana moja
 
hizo picha za utupu za huyo dada nani anazo, maana mimi naona ni kama senema vile, hivi kweli toto kama hilo, mwenye nyama za haja ambazo akitembea zinatetemeka kwa mpangilio maalumu anaweza kwleli kufanya hivyo, HIVI KWELI INAWEZEKANA ILE METHALI YETU YA ZAMANI ILI KUWA NA MAKOSA , "KIBAYA CHAJITEMBEZA NA KIZURI CHAJIUZA"

PLZ NAOMBA MWENYE NAZO ANITUMIE KUNAKO BOX LANGU LA MSG BINAFSI
 
MJASILIAMALI WA KUFUGA KUKU..






Welcome to Nsia Swai’s appropriately (and surprisingly) named business: ‘Broiler’ (surprisingly because most businesses in rural areas of Tanzania use Swahili names and broiler is a surprisingly specific English word). Analysis of the name aside, Nsia’s chicken-raising business is a steady one, which she has run since 2006. She now requires a loan of $350 to expand the business in the hope of increasing her profit. Nsia is a single woman who is using her business to support herself and to become financially independent.

SELFINA is engaged in economic empowerment of women in Tanzania through a leasing and leaseback facility as a practical way to achieve economic and social emancipation of women.
SELFINA has taken a lead role as a pioneer of micro-credit in Tanzania through Micro Leasing. Customs and traditions in Tanzania normally make it difficult for women to own land and assets, thus they are termed not credit worthy by financial institutions as they lack tangible collateral assets. This leads to poor financial support, hence poor access to basic needs and services for women with low incomes. SELFINA buys and leases equipment to women. Where a client needs working capital, SELFINA buys equipment from the said client, extending a loan to her, and then leases back the same equipment – a process called sale and leaseback arrangement.
Google Image Result for http://s3-1.kiva.org/img/w800/96656.jpg
 
IJUMAAfrontpagepg.gif
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Ni vigumu kuamini kuwa aliyekuwa Denti wa ‘Yunivasite’ ya Mtakatifu Augustino pale Nyegezi Mwanza ambaye bado anatafunwa na skandali ya upigaji wa picha za ngono, Nsia Swai amezua jambo jipya lenye lebo ya kituko cha aina yake, Ijumaa halina cha kuacha kuripoti.

Kizazaa cha Nsia Swai kimekuja kufuatia kuonekana kwa sura yake katika meza ya majaji wa shindano la ulimbwende mkoani hapa akivalia cheo cha jaji wa mamisi wanaoandaliwa kwa ajili ya kumpata Miss Tanzania 2010.
Tukio hilo lililoshuhudiwa na macho ya Ijumaa lilijiri katika Ukumbi wa Hoteli ya Naura Springs mjini hapa mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo kulikuwa na kinyang’anyiro cha kumsaka Vodacom Miss Arusha City Center 2010 huku mgeni rasmi akiwa ni Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mhe. Raymond Mushi.

Nsia Swai
Katika ishu hiyo iliyohudhuriwa na Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi kutoka Kenya, Mhe. Samweli Poghisio, jambo lililozua utata ni utambulisho wa Nsia Swai kama mmoja wa majaji wa shindano hilo.
‘Soon’ baada ya ‘introdakisheni’ hiyo, baadhi ya wahudhuriaji walisikika wakinong’ona kuwa, mtu mwenye kashfa ya kupiga picha za utupu iweje awe jaji wa mamisi huku wakitaka nafasi hiyo ichukuliwe na watu ambao ni ‘watakatifu’ katika macho ya jamii.

“Hiki ni kituko cha aina yake, huyu si ni Nsia Swai ambaye aliripotiwa katika vyombo vya habari kupiga picha chafu? Sasa iweje awe jaji wa mamisi? Hii nafasi ilipaswa kupewa mtu safi mbele ya jamii,” alisema mmoja wa wafuatiliaji wa kinyang’anyiro hicho ukumbini humo ambaye jina lake halikunaswa mara moja.

Aidha, wadau hao walikwenda mbele zaidi na kudai kwamba, kumekuwa na dhana potofu kuwa mashindano ya mamisi ni uhuni au umalaya hivyo ni lazima waandaji wawe makini ili kudhihirisha kuwa ni shindano lenye heshima fulani nchini.
“Unajua baadhi ya wazazi wanaona mashindano haya ni uhuni au umalaya, sasa ili kuweka mambo sawa ni lazima hata majaji wake wawe ni watu fulani ambao hawana skendo,” alisema mdau mmoja aliyetambulika kwa jina la Eliufoo.

..Nsia akiwa miongoni mwa majaji
Hata hivyo, baadhi ya wadau walionekana kuwa tofauti ambapo walidai kwamba, kuvuja kwa picha za Nsia halikuwa kati ya agenda zake kwani ilitokea kwa bahati mbaya kufuatia umafia aliofanyiwa hadi kusambaa kwa ‘foto’ hizo.
Waliendelea kupasha kwamba, si vema kumhukumu mtu kwa jambo baya moja alilofanya bila kukusudia huku mazuri yenye hesabu za maelfu yakisahaulika.

Ilisemekana kwamba, Nsia bado anayo nafasi ya kuonesha kuwa ni mkali katika fani ya urembo kwani waliompa shavu la ujaji hawakumpa bure bali walizingatia vigezo husika na uzoefu alionao katika mambo ya urembo.
Mjadala ulichukua kasi mithili ya moto wa kifuu ambapo kama siyo msanii kutoka pande za Kenya, Jackson Ngechu ‘CMB Prezoo’ kuitwa stejini na ‘MC’ wa shughuli hiyo ambaye ni Presenta wa Kituo cha Runinga cha EATV, Dominic Nyalifa ili kutumbuiza na baadaye Zahra Seleman kujinyakulia taji hilo kwa mwaka huu, basi ‘diskasheni’ ingeendelea hadi mwisho.

Nsia na mwenzake, wakiwa madenti wa chuo (wakati huo, kwa sasa wamehitimu) waliripotiwa kupiga picha za utupu zilizozagaa kila kona ya nchi zaidi ya mwaka mmoja uliopita ambapo ishu hiyo iliwafanya kupata misukosuko ya ajabu chuoni.

KWETU SISI
Nsia ni mrembo jasiri anayepaswa kutosikiliza maneno ya kumkatisha tamaa na badala yake kusonga mbele ili kudhihirisha kuwa yeye ni mwanamke mrembo, msomi na mwenye kuona mbali kwa ajili ya maisha ya baadaye.-MHARIRI.
 
Back
Top Bottom