Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Ni kawaida kwa binadamu ku shukuru/kum acknowledge binadamu mwenzie baada ya kufariki.Tabia ambayo imeota mizizi katika maisha yetu japokuwa sio tabia nzuri/mbegu nzuri ya kuipanda.
Katika muziki wa bongo flavor kuna watu ambao wamefanya kazi kubwa ya kuufikisha mziki huu hapa ulipo.Bila kuwakumbuka na kuwashukuru haitakuwa sahihi.Leo hii tunajivunia akina Diamond,Alikiba,vanessa,n.k lakini kuna giants ambao kwa wakati wao walishafanya makubwa ya kukumbukwa.
Thread hii ni special kwa kuwakumbuka na kuwa mention katika kumbukumbu zetu.
Akiwa msanii,dj,producers,redio presenters,
Let’s mention them.
Katika muziki wa bongo flavor kuna watu ambao wamefanya kazi kubwa ya kuufikisha mziki huu hapa ulipo.Bila kuwakumbuka na kuwashukuru haitakuwa sahihi.Leo hii tunajivunia akina Diamond,Alikiba,vanessa,n.k lakini kuna giants ambao kwa wakati wao walishafanya makubwa ya kukumbukwa.
Thread hii ni special kwa kuwakumbuka na kuwa mention katika kumbukumbu zetu.
Akiwa msanii,dj,producers,redio presenters,
Let’s mention them.