Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nilikula naye hela ya ada.Popote alipo,namuamuru anirudishie fedha zangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbali na UKIMWI chunya kuna malaria kali hivyo ajikinge na malaria ya hapo kuliko UKIMWI maana akiipata malaria ya hapo akipona aende akawe pastor tu ni kali na inaua kinyama.Kuwa makini chunya kuna ukimwi kama wote
Jina la kwanza ni Beatrice?Nmefanya kusudi
Kama yumo humu anione pm,
Sio kwa Nia mbaya, Bali hata salamu TU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunafanyaje Sasa😂😂
So sorry, you will be relieved from that.Nikisoma post za namna hii roho inaniuma mno-sijui kwanini
Naskiliza Nyimbo ya FERUZI mkuu daily🔥Kuwa makini chunya kuna ukimwi kama wote
Huyu dainess mbona kama namjua hivi, adv 2014 to 2016?Advance hapo .. kwenye foleni ya msosi mistari miwili wakike na kiume ikielekea dirishani kwenye msosi huku tukishika sahani na bakuli zetu ilikuwa zamu yetu form5 aka form one wa kiangazi .
kuelekea dirishani pembeni yangu kwenye mstari namuona mtoto na Dimpoz zake anaongea na wa mbele yake kwenye line akitabasamu
So you see that's where the trouble began
That's smile ..that damned smile
Mpaka nikapigwa kibao cha kisogo nisogee kwenye foleni ya msosi na wa nyuma yangu " oyaaa vipi babu "maana nilisimama namcheki mtoto mpaka akagundua akacheka zikiambatana na sauti za kibao cha kisogo na sauti ya mpishi wetu mzee wa makamo "wewe mpumbavu sogea"
Niko kwenye mti nakula nawachorea wana ramani black beuty flani hivi ana Dimpoz macho flani hivi ya uchokozi " oyaa kunguru we unamsemea Dainess akanijibu mwanangu mmoja hivi yeye anajua ratiba za misosi,mademu ,na michezo ila ratiba za vipindi hajui ..
"Yuko pcm huyo ndio yule anaetukimbiza chem na phy..hao ndio wamekuja shule sio wewe karungeyeye"
Niseme tu she want me dead... she want me alive [emoji16] she is crazy, nasty, brilliant mtoto anajua O.J Smith conspiracy theories,sjui brexit exit , normal girlfriend wanasoma novel yeye anasoma schimidit sting pain index na ana appl ya betpawa kwenye simu yake .
Tunaacha tunarudiana...tunaachana.. tunarudiana and cycle continue [emoji16]. Maana tunapeana dating advice saa nyingine [emoji16]
Nilikuwa natoroka Umbwe naenda Somsom kumsubiria njia anayopita na wenzake akirudi kwao, akiniona full miaibu anakosa pozi kabisa, Jumapili naenda kumtega uwanja wa mpira Mlama secondari akiwa anaenda church (Parokia ya Kibosho Umbwe),basi akiniona anatamani kuanguka, namshika mkono,anaogopa sana sababu ya watu wanaopita.
Jumamosi nilikuwa naenda kumvizia Kombo(Gulioni) huku walau anavorudi kwao nilikuwa napata chansi ya kumsika kiuno na vichuchu vyake basi anaweweseka kinoma.Tatizo nilikuwa nikifosi nimpige miti kwenye mikahawa alikuwa anahaha sana, sehemu ya kumpigia miti ilikuwa inakosa, pisi moja black beauty kali sana.
Unfortunately niliishia kumtomasa manyonyo na kumshika kiuno. Nikaja kusikia aliolewa Arusha kipindi niko Advance, Ikawa mwisho wa pich
Braza ako wa lyamungo nakucheki tu nasema hiii,hiyo mitaa yote naielewa mkuuNilikuwa natoroka Umbwe naenda Somsom kumsubiria njia anayopita na wenzake akirudi kwao, akiniona full miaibu anakosa pozi kabisa, Jumapili naenda kumtega uwanja wa mpira Mlama secondari akiwa anaenda church (Parokia ya Kibosho Umbwe),basi akiniona anatamani kuanguka, namshika mkono,anaogopa sana sababu ya watu wanaopita.
Jumamosi nilikuwa naenda kumvizia Kombo(Gulioni) huku walau anavorudi kwao nilikuwa napata chansi ya kumsika kiuno na vichuchu vyake basi anaweweseka kinoma.Tatizo nilikuwa nikifosi nimpige miti kwenye mikahawa alikuwa anahaha sana, sehemu ya kumpigia miti ilikuwa inakosa, pisi moja black beauty kali sana.
Unfortunately niliishia kumtomasa manyonyo na kumshika kiuno. Nikaja kusikia aliolewa Arusha kipindi niko Advance, Ikawa mwisho wa picha.
Mkuu vp kiporo mkikutana?Dah huu uzi umeniflash back miaka ya 2011 wakat nipo secondar tulipendana na bint yule haikuwa siri tena kila mtu alikuwa anajua she alikuwa cute kila mtu alikuwa anatuonea donge ile couple shule nzima tulikuwa role mode yetu kweli nimeamini kila moment unayoipata kwenye maisha ifurahie yaani mpaka leo nikiwasiliana na schoolmate wenzangu bado wananiuliza about her wanaamini bado tuko together now she ana maisha yake and me nina maisha yangu ila hatuachi kuwaciliana
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mkuu najaribu kuvuta picha vile ulivokua unatembea kwa kudundadundaMm nilishawai kula mtu na shost yake nikatengeneza bifu ambalo lilifanya mpk shule nzima wakajua kam nmewakula wote
C mnajua tena wasichana wasivyo na mioyo ya uvumilivu
Mkuu kiporo km kawa sio?Nakumbuka tulikutana akiwa form 1 mimi form 3, kwa kifupi tulikuja kuoana baada ya college, lakini kwa bahati mbaya baada ya miaka nane na watoto wawili tuliishia na divorce, sasa kaolewa tena na bado tuna uhusiano mzuri na tunaheshimiana sana pamoja na mme wake
Wagumu camp[emoji28][emoji28][emoji28]Rebecca alinipenda sana ila mimi niliendekeza ukax nilikua mgumu ugumuni yaan suala la kubembelezana na demu nilikua naona kama ni udhaifu kutokana na shinikizo la machalii zangu walikua wananionea wivu wakawa wananiambia hawaongei na mtu mwenye demu eti nimevunja miiko ya wagumu tunadumu na mimi nikawa nampotezea demu Ila siku hizi namkumbuka sana japo kumpata siwez tena
ujinga na ushamba vitu vya ovyo sanaMkuu kiporo km kawa sio?