Ulikua hatari sanaKuna dem alikuwa anaitwa Mandela dem alikuwa ananipenda kishenzi.Nakumbuka siku ya Graduation yangu alininunulia jinsi kali na flana,Kumbe alikula Ada ya shule na kuninunulia nguo.Afu graduation mzima mi ndo nilifunika kwa pamba kali.Wenzangu wote utadhani wameambizana walikuwa wamevaa mashati ya Satini na suluari za marinda full kupigwa pasi.Mi mguuni nilikula kiatu moja matata ilikuwa inaitwa DIESEL ghali sana.Ankal angu aliniletea toka Uk.
Sent using Jamii Forums mobile app
ungetumia kiswahili tu nadhani ingenoga zaidi-sasa umechanganya lugha sijui ndio kututambishia kiasi kwamba utamu wote umebaki nao wewe mwenyewe ndg mtakatifu mwandishiKuna moja tulifall in love alikua mzuri balaa, tamaa za kijinga enzi hizo zikanifanya nim-cheat, akasema nimuombe msamaa anisamehe nikwamwambia she better find someone better, so she left.
Akili zimekua sasa nimejua that was foolish, na mkipendana na mtu then keep it real, yes we were young lakini alikua mtu smart sana na one of the most beautiful people I’ve ever seen na anayewaza maendeleo, yaani plus kwenye everything. Sijui kwa nini wadada wa hivyo hua ni rare. I’m so over that now sababu the past ni past ila my next girlfriend hopefully atakua wa mwisho kabisa, I’m very picky though.
Ive had relationships with very wonderful women na wengine vichaa mnabreak up after a day, it was all a lesson though, sasa hivi I don’t take relationships for granted na najua what’s the value of having someone ukamwita life partner.
ungetumia kiswahili tu nadhani ingenoga zaidi-sasa umechanganya lugha sijui ndio kututambishia kiasi kwamba utamu wote umebaki nao wewe mwenyewe ndg mtakatifu mwandishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Focus and Determination. Kama niko school purpose yangu ya kuwa school ni kusoma sio kuwa na mpenzi so sikuwa na haja ya kufanya kinyume na kilichonipeleka shule.
Una namba zake?Mkuu huu uzi bn umenifanya nmkumbuke mtoto flan iv wa kichanga form one mpk 4 hyo