Mbona kama "AMECHOKA" vile?
Mzee alikuwa vizuri kwa mabinti wakali.Naona vijana 'mapaja' hayo yanawazingua! Huyu demu nasikia alipelekwa kusoma na MENGI huko bondeni!:A S 8:
Kipindi kile alikuwa na figa siku hizi sijui limepotelea wapi.
.Gitaa la dalikimoko
kajaa tele EFM. 93.7 kama uko Dasalama. SAA 10 mpaka SAA 1 jioniYuko wapi huyu msanii Dokii? Hajasikika muda mrefu sana
Daaaah ndiyo station ambayo huwa sifunguikajaa tele EFM. 93.7 kama uko Dasalama. SAA 10 mpaka SAA 1 jioni
Ila huyu mzee Mafupi kawaunganisha wengi sana kwenye grid ya taifa.Rest unapostaili mzee Mafupj.Naona vijana 'mapaja' hayo yanawazingua! Huyu demu nasikia alipelekwa kusoma na MENGI huko bondeni!:A S 8: