Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,387
- 2,245
Mbona kama "AMECHOKA" vile?
Halafu kama ana kikwapa vile? hebu cheki karangi fulani hapo kwapa la kulia,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama "AMECHOKA" vile?
Mzee alikuwa vizuri kwa mabinti wakali.Naona vijana 'mapaja' hayo yanawazingua! Huyu demu nasikia alipelekwa kusoma na MENGI huko bondeni!:A S 8:
Kipindi kile alikuwa na figa siku hizi sijui limepotelea wapi.
.Gitaa la dalikimoko
kajaa tele EFM. 93.7 kama uko Dasalama. SAA 10 mpaka SAA 1 jioniYuko wapi huyu msanii Dokii? Hajasikika muda mrefu sana
Daaaah ndiyo station ambayo huwa sifunguikajaa tele EFM. 93.7 kama uko Dasalama. SAA 10 mpaka SAA 1 jioni
Ila huyu mzee Mafupi kawaunganisha wengi sana kwenye grid ya taifa.Rest unapostaili mzee Mafupj.Naona vijana 'mapaja' hayo yanawazingua! Huyu demu nasikia alipelekwa kusoma na MENGI huko bondeni!:A S 8: