Unamkumbukaje Chief Adam Sapi Mkwawa?

Unamkumbukaje Chief Adam Sapi Mkwawa?

asyamzalendo

New Member
Joined
Oct 16, 2014
Posts
3
Reaction score
0
Wadau kuelekea kuadhimisha miaka 17 ya kifo chake aliyekuwa Spika wa Bunge wa Kwanza wa Bunge la Jamuhuri Ya Muungano ya Tanzania tuna yapi ya kumuelezea ? na yapi ya kujifunza hasa kaatika siasa za kipindi hiki na Bunge letu la zama hizi?
 
Wadau kuelekea kuadhimisha miaka 17 ya kifo chake aliyekuwa Spika wa Bunge wa Kwanza wa Bunge la Jamuhuri Ya Muungano ya Tanzania tuna yapi ya kumuelezea ? na yapi ya kujifunza hasa kaatika siasa za kipindi hiki na Bunge letu la zama hizi?
Asyamzalendo,
Miezi michache iliyopita nililweka post hii hapa Majlis:

SIKU CHIEF ADAM SAPI MKWAWA ALIPOJIUNGA NA TANU MWAKA WA 1955

1558481_10202564359406945_14461383_n.jpg

Siku Chief Adam Sapi Mkwawa alipopokea fuvu la babu yake Mtwa Mkwawa
Kalenga

1480605_10202564360126963_1384702608_n.jpg

1939595_10202564355446846_1747412651_n.jpg

1239409_10202564351606750_127846408_n.jpg

''Maisha ya Chifu Adam Sapi Mkwawa yalitokeaa katika
''Baragumu,'' Aprili 12, 1956.

Alisoma Tabora na Makerere alikokwenda kusomea udaktari.
Hakumaliza masomo yake na alilazimika kurudi nyumbani
kuchukua nafasi ya Uchifu wa Wahehe.

Alichaguliwa mjumbe wa Baraza la Kutunga sheria mwaka 1947
akiwa na umri wa miaka 27.

Mwaka 1955 Abdulwahid Sykes na Dossa Aziz walialikwa na
Chifu Adam Sapi kwenda Kalenga kwenye sherehe za kukabidhiwa
fuvu la Chifu Mkwawa aliyejiua katika vita vya Wahehe na Wajerumani.

Chifu Adam Sapi Mkwawa aliingizwa kisirisiri ndani ya TANU na Dossa
Aziz
hivyo kuwa mmoja wa machifu wa wachache sana waliounga mkono
TANU.''

(Kwa maelezo ya Machifu waliounga mkono TANU angalia Sauti ya TANU
No. 22 ya tarehe 28 Februari, 1958).

Kutoka kitabu: ''Maisha na Nyakati za Abdul Sykes...''

1383757_10202564391607750_590406722_n.jpg


1891144_10202564361006985_839776287_n.jpg


''Our tour of Iringa took us to the museum of the Legendary Chief Mtwa (Abdullah) Mkwawa of the Wahehe tribe. He was a Muslim who fought the Germans in the late 19th century and after his defeat they took his skull to Germany as a trophy. He was converted by one Sheikh From Tanga and was taught Arabic and The Holy Qur'aan. The letter in Arabic is purported to have been written by him to the Sheikh in Tanga requesting for reinforcement to help him fight the Germans. His grandson the late Chief Adam Sapi Mkwawa managed to have his skull returned to Tanzania in 1955 and he received it in a parade of honour as some of these pictures show. Allah rhamhum.''
Picha na maelezo hapo juu kwa hisani ya Ummie Mahfoudha Alley.
 
Asyamzalendo,
Miezi michache iliyopita nililweka post hii hapa Majlis:

SIKU CHIEF ADAM SAPI MKWAWA ALIPOJIUNGA NA TANU MWAKA WA 1955

1558481_10202564359406945_14461383_n.jpg

Siku Chief Adam Sapi Mkwawa alipopokea fuvu la babu yake Mtwa Mkwawa
Kalenga

1480605_10202564360126963_1384702608_n.jpg

1939595_10202564355446846_1747412651_n.jpg

1239409_10202564351606750_127846408_n.jpg

''Maisha ya Chifu Adam Sapi Mkwawa yalitokeaa katika
''Baragumu,'' Aprili 12, 1956.

Alisoma Tabora na Makerere alikokwenda kusomea udaktari.
Hakumaliza masomo yake na alilazimika kurudi nyumbani
kuchukua nafasi ya Uchifu wa Wahehe.

Alichaguliwa mjumbe wa Baraza la Kutunga sheria mwaka 1947
akiwa na umri wa miaka 27.

Mwaka 1955 Abdulwahid Sykes na Dossa Aziz walialikwa na
Chifu Adam Sapi kwenda Kalenga kwenye sherehe za kukabidhiwa
fuvu la Chifu Mkwawa aliyejiua katika vita vya Wahehe na Wajerumani.

Chifu Adam Sapi Mkwawa aliingizwa kisirisiri ndani ya TANU na Dossa
Aziz
hivyo kuwa mmoja wa machifu wa wachache sana waliounga mkono
TANU.''

(Kwa maelezo ya Machifu waliounga mkono TANU angalia Sauti ya TANU
No. 22 ya tarehe 28 Februari, 1958).

Kutoka kitabu: ''Maisha na Nyakati za Abdul Sykes...''

1383757_10202564391607750_590406722_n.jpg


1891144_10202564361006985_839776287_n.jpg


''Our tour of Iringa took us to the museum of the Legendary Chief Mtwa (Abdullah) Mkwawa of the Wahehe tribe. He was a Muslim who fought the Germans in the late 19th century and after his defeat they took his skull to Germany as a trophy. He was converted by one Sheikh From Tanga and was taught Arabic and The Holy Qur'aan. The letter in Arabic is purported to have been written by him to the Sheikh in Tanga requesting for reinforcement to help him fight the Germans. His grandson the late Chief Adam Sapi Mkwawa managed to have his skull returned to Tanzania in 1955 and he received it in a parade of honour as some of these pictures show. Allah rhamhum.''
Picha na maelezo hapo juu kwa hisani ya Ummie Mahfoudha Alley.
Naam upo sahihi kabisa, nafurahi kuona bado kuna vijana tunakumbuka mchango wake na uzalendo wake katika nchi yake......
 
Back
Top Bottom