Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Namna ya Kulinda Usalama wa Watoto Mtandaoni
1. Zungumza na mtoto juu ya matumizi sahihi na salama ya mtandao
2. Mfundishe mtoto kuhusu taarifa binafsi na namna ya kuzilinda
3. Weka mipaka ya mambo ambayo mtoto anaweza na hawezi kuyafanya mtandaoni.
4. Muhamasishe mtoto kutoa taarifa endapo atakutana na tatizo mtandaoni
Ni muhimu kuwalinda watoto mitandaoni kwani wahalifu wa mtandaoni hujaribu kupata taarifa za siri kutoka kwao, hivyo elimu kuhusu hatari za kushiriki taarifa binafsi ni muhimu.
Pia Wanyanyasaji wa mtandaoni wanaweza kuwaathiri watoto kisaikolojia, hivyo watoto wanapaswa kufundishwa kuripoti vitendo hivyo ili kuepuka msongo wa mawazo
Aidha Mafataki wa mtandaoni (Online Sex Predators) huwarubuni watoto kuingia kwenye mahusiano yasiyofaa, na wazazi wanahitaji kufuatilia mazungumzo ya watoto ili kuhakikisha usalama wao
1. Zungumza na mtoto juu ya matumizi sahihi na salama ya mtandao
2. Mfundishe mtoto kuhusu taarifa binafsi na namna ya kuzilinda
3. Weka mipaka ya mambo ambayo mtoto anaweza na hawezi kuyafanya mtandaoni.
4. Muhamasishe mtoto kutoa taarifa endapo atakutana na tatizo mtandaoni
Ni muhimu kuwalinda watoto mitandaoni kwani wahalifu wa mtandaoni hujaribu kupata taarifa za siri kutoka kwao, hivyo elimu kuhusu hatari za kushiriki taarifa binafsi ni muhimu.
Pia Wanyanyasaji wa mtandaoni wanaweza kuwaathiri watoto kisaikolojia, hivyo watoto wanapaswa kufundishwa kuripoti vitendo hivyo ili kuepuka msongo wa mawazo
Aidha Mafataki wa mtandaoni (Online Sex Predators) huwarubuni watoto kuingia kwenye mahusiano yasiyofaa, na wazazi wanahitaji kufuatilia mazungumzo ya watoto ili kuhakikisha usalama wao