Unamnunulia mchepuko kitenge sare na mke wako, wanaume kuna mnalolitafuta

Zamani Mungu alikuwa anachelewa kujibu, ila Siku hizi kwa kuwa upuuzi ni mwingi wala hachelewi akichelewa sana ni mwaka mmoja tu.Siku zote malipo ni hapa hapa duniani, huwezi mdhalau Mke anaekuthamini na kukuheshimu ukabaki salama.
Alieleta dhalau hapo ni mchepuko ama mwanaume?
 
tumeona kwa nje na tunasema kwa nje, sawa ni maza ya nyumbani, kweli anaweza kuwa anakupikia, anakufulia mmezaa watoto, na sio amekuzalia (sio machine au chombo baki) ni mke.....anaweza fanya yote.....ila anaweza kuwa hakuheshimu.....na maneno kama chiriku aliekoswa na manati....majibu ya ghilba ghilba......nyumba ni moto wakati wote,,,,,ukichelewa kosa, ukiwahi kosa.....hata wanaume ni binadamu.......tena kitenge cha sare shukuru anakuthamini...angeweza kutokukupa hata kipande......sare sare imekuuma.....ndoa zina mabo sana
 
Nisamehe mke wangu. Sitarudia tena huo mchezo wa kukumbatia bomu
 
Kwann Adith nyingi za mapenzi mnapenda kuzihusisha na wafanyakazi wa Benki, na mimi nikisha ona neno benki najua hii ni chai.
Ni mtazamo wa watu tu,wengi huamini kufanya kazi kule ndio kuna malipo mazuri mkuu kumbe sivyo.
 
Ukiona manyooooyaaa jua kaisha liwaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…