Unampaje mtu utajiri huku wewe ukiunguza maini na kuharibu figo zako?

Unampaje mtu utajiri huku wewe ukiunguza maini na kuharibu figo zako?

Prof j nae si aliumwa kidgo tumpoteze au nae aliweka bondi roho
1/ kudondoka ghorofani
2/ story za waganda kwamba jamaa anaangaika kujinasua(jamaa ana depression ya muda mrefu)
3/ wimbo natamani nikuone


Hizo. Ndio points nilizotumia, prof j siwezi SEMA lolote ,Sina mtiririko wa maisha yake kabla hajaugua, na hata chameleon sijaconclude ila nimehisi kwa kuunga hizo codes!!!!!!
 
Je hii inaingia akilini?

Sijaona na sitoona faida ya pombe kabisa. Nimekaa na kutafakari kwa kina kwamba yani mimi ninunue pombe haswa hizi kali niharibu maini na figo ili nimtajirishe mmiliki na mtengenezaji wa hizo pombe?

Ndugu zangu haswa wakati huu ambao tunaelekea kwenye sikukuu za kumaliza mwisho wa mwaka, watu huona kunywa pombe ndio starehe haswa ya kufurahia sikukuu ndugu zangu tuache pombe. Pombe haina faida yoyote.

Embu one mwana wa valuvalu Jose Chameleone yuko hospitalini hivi sasa afya yake imezorota sababu ya pombe, je nikuulize wale waliokua wanakunywa nae wapo wapi?

Je wamiliki wa hayo makampuni za pombe wako wapi ,? Wao wako wanakula raha kwa pesa zenu mlizowachangia za kununua pombe zao, mbaya zaidi wao hawanywi pombe..

Ewe kijana, jiwekee malengo kua mwaka 2025 hakuna pesa yako itanunua pombe,hujachelewa, jiwekee malengo sasa na Mungu akusaidie.
Ebu nipe faida moja ya kufa na ini au figo zima.

Acha kupangia watu maisha hujui,pombe ndio zinazowndesha uchumi wa nchi yako.?
 
Wewe kama ni mwanamke mume atakua kashakuchoka unaonekana una gubu sana..sis wanywaji mbona hua hatuna muda na nyie au unafikiri mirinda nyeusi inachumwa shambani..
 
Kisa nimenunua helikopta ndo ukataze watu wasinywe pombe zangu. Acha wivu
 
Back
Top Bottom