Uncle XOXOQY 2day's class:-Asilimia kubwa ya watu waliopata kupenda katika maisha yao kisha wakatendwa hupata "mvunjiko wa moyo"(brocken heart),watu wa namna hii hupata matatizo ya kisaikolojia yanayodumu katika maisha yao yote,hujihisi kuto kukamilika,huwa wapweke,wanapoingia kwenye mapenzi huwa ni watu wa kujihami sana,watu kama hawa hawapendi kuacha pale wanapoanza mapenzi mapya bali huwa hawako tayari kupenda kwa dhati.KUMUACHA MPENZI AKUPENDAE KWA DHATI HUMSABABISHIA ATHARI KUBWA SANA KISAIKOLOJIA.EPUKA KUACHA KWANI "wat goes arround alwayz comes around"HAPPY VALENTINE'S DAY! kwa ushauri kuhusu anythng about L.O.V.E just email me feyz18@yahoo.com.