Unamsaidia vipi kisaikolojia Mwanasiasa aliye au anayetarajia kwenda jela muda mrefu ili asiathirike na kukata tamaa ya Maisha?

Unamsaidia vipi kisaikolojia Mwanasiasa aliye au anayetarajia kwenda jela muda mrefu ili asiathirike na kukata tamaa ya Maisha?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hapa nilipo nchini Somalia katika Mji maarufu wa Hargeisa kuna Mwanasiasa Mmoja maarufu aitwae Mahmoud Salim kaenda Jela miaka mingi tu ila kuna mwingine nae pia ni maarufu na Kipenzi cha wengi aitwae Tariq Masoud muda wowote anaenda Jela.

Bahati nzuri wote hawa ni Marafiki zangu wakubwa Mimi GENTAMYCINE hapa nilipo sasa Kimakazi nchini Somalia ila sina Msaada mwingine wa kuwapa bali labda ni wa Kisaikolojia pekee kama mtanisaidia nao ili nikawape.

Huyo Mahmoud Salim kafungwa Miaka 29 + 1 kutokana na Ubabe wake wa Kisomali na huyu Tariq Masoud ana Kesi kubwa ya Ugaidi inayomkabili ( japo bado hajahukumiwa) ila kwa Kesi ilivyo hapa Somalia Wanasheria Nguli wanasema Jela Kwake haikwepeki.

Je, nikawajenge vipi hawa Kisaikolojia?
 
Madee aliwai kuimba JELA SIO KABURI......

Sisi ambao tume wai ishi.... Such a Miserable life.....kuna muda maishani unapoteza kila kitu na haujinyongi Wala haukati tamaa bali....Una become more stronger
 
Oyaa Popoma viazi bei gani ?
hukoo Somalia
Na umeenda lini mbona jana tulikuwa wote?
 
Gaidi Jela ndo mahala pakee.

Tz hawajawahi kumbana na Kadhia ya Magaidi ndo maana akili zao zimeweuka.

We bro kama anakesi na ushaidi upo wala usijiumize kichwa mwache aende Jela akakutane na miamba wenginee.

Gaidi sio mtu ni mnyamaa tena hafai kukaa na Jamii.
 
Namshauri anipe million 100 tu katika hela alizoficha ili akirudi mtaani akute mambo mazuri!
 
Hapa nilipo nchini Somalia katika Mji maarufu wa Hargeisa kuna Mwanasiasa Mmoja maarufu aitwae Mahmoud Salim kaenda Jela miaka mingi tu ila kuna mwingine nae pia ni maarufu na Kipenzi cha wengi aitwae Tariq Masoud muda wowote anaenda Jela.
Wewe umeshajijenga kabla ya kuwajenga wenzio?
 
Hapa nilipo nchini Somalia katika Mji maarufu wa Hargeisa kuna Mwanasiasa Mmoja maarufu aitwae Mahmoud Salim kaenda Jela miaka mingi tu ila kuna mwingine nae pia ni maarufu na Kipenzi cha wengi aitwae Tariq Masoud muda wowote anaenda Jela.
Reject la SAUT katika ubora wake.
 
Hapa nilipo nchini Somalia katika Mji maarufu wa Hargeisa kuna Mwanasiasa Mmoja maarufu aitwae Mahmoud Salim kaenda Jela miaka mingi tu ila kuna mwingine nae pia ni maarufu na Kipenzi cha wengi aitwae Tariq Masoud muda wowote anaenda Jela.
Hizi elimu za wazee wa kale mnazitoa wapi,maana hazifundishwi mashuleni katika mfumo rasmi!

Unakuta mtu mpo naye mmekaa anaanza kukuletea hadithi za mbaaali kwa kufananisha fananisha!

Lakini mtiririko wa hadithi ukiupima unafanana na ulivyonyoa panki wewe!

Na unajihisi kabisa kwenye hadithi hiyo, uhusika aliyeeuvaa piga ua ni wewe!

Baadaye hadithi inaishia hivyo hivyo unaachwa na sintofahamu yako!

Nikija kwenye simulizi lako hili la kutaka ushauri, mbona ni kama haupo Somalia, bali kuna 'seen' unazisema kwa kutaka kuwala watu vichwa?
 
Back
Top Bottom