Nani kakwambia Maiti haishtakiwi?😳
kuua ni kosa lakini kisheria haijalishi mtuhumiwa kajiua au kaua mwingine, ni vile tu maiti haishtakiwi.
Marahaba hujambo...Habari za wakati huu wakuu.
Wakubwa shikamoo, madogo wozah niaje.
Kuna ongezeko kubwa la kesi za watu kujiua kwa mambo mbalimbali, hata huku kuna dogo alimaliza la 7 akakataa shule, wazazi wakaforce sana akagoma, siku hio mzee wake akadamka akampiga biti dogo kama nikirudi hujaenda shule uhame hapa, dogo akajiua.
Ukigundua mtu anataka kujiua unamsaidiaje wakuu maana tunapoteza ndugu,jamaa,na marafiki zetu huenda ushauri wenu ukaokoa maisha ya mtu one day.
Weee acha basi mkuu, mbona sa haujiui ukale raha kiongozi!Marahaba hujambo...
Iko hivi mtu aliyekufa anakula bata Sasa hivi kuliko hata wewe ambaye unaishi so kumzuia asijiue ni kumzuia kuponda raha huko anakotaka kwenda.
Hii ndiyo kusema kumzuia mtu anayetaka kufa ni kumwonea wivu.
Najua hutanielewa Leo lakini ukikua utanisoma.
Bye bye
sio wewe tu mkuu ni wengi hata me pia nikikumbuka nazilaani zile siku, bila kupata usaidizi ningepotea.Ila maisha kuna kipindi niliwahi kuwaza hii kitu, sijuwi ssasa hivi ningekuwa niko wapi! Yaani nisingewahi kumuona Yombo msukuma na katuni zake dah!
Mkuu siku ukifa utajuta Kwa kuchelewa duniani kusiko na raha yoyote Kwa maana raha iliyoko kule haina kikomo.Weee acha basi mkuu, mbona sa haujiui ukale raha kiongozi!
Mkuu mi naona bora ungewahi mapema kule uponde raha. kule Mambo ni raha mustareheIla maisha kuna kipindi niliwahi kuwaza hii kitu, sijuwi ssasa hivi ningekuwa niko wapi! Yaani nisingewahi kumuona Yombo msukuma na katuni zake dah!