Unamshangaa gadiola!, Angalia makocha wenye roho ngumu zaidi ya shetta

Unamshangaa gadiola!, Angalia makocha wenye roho ngumu zaidi ya shetta

Huyo aliesema wamecheza vipind tofaut
Wengi wameanza kuangalia hii mipira baada ya kuja mjini aidha kufanya biashara, kufanya kazi au kusoma.
Kwa hiyo inawezekana hana historia ya miaka ya huko nyuma.
Na kwa kuwa Watanzania tuna utaratibu mzuri wa kupinga kila tusichokijua yupo huru kupinga ila uzuri wa wenzetu wana kawaida ya kuhifadhi kumbukumbu zote.
Uliza leo Simba au Yanga kama wana hata karatasi inayoenyosha orodha ya majina ya wachezaji wao mwaka 2000-2001.
 
Wengi wameanza kuangalia hii mipira baada ya kuja mjini aidha kufanya biashara, kufanya kazi au kusoma.
Kwa hiyo inawezekana hana historia ya miaka ya huko nyuma.
Na kwa kuwa Watanzania tuna utaratibu mzuri wa kupinga kila tusichokijua yupo huru kupinga ila uzuri wa wenzetu wana kawaida ya kuhifadhi kumbukumbu zote.
Uliza leo Simba au Yanga kama wana hata karatasi inayoenyosha orodha ya majina ya wachezaji wao mwaka 2000-2001.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mkuu hatar sna.
 
Kwenye hiyo picha mimi nawaona RAUL, GUTI, FIGO & RONALDO.

ZIDANE kwa pembeni.

BECKHAM simuoni hapo.

Yawezekana ilikuwa FRIENDLY match.
 
Back
Top Bottom