Kwa nini umepeleka watoto boarding mapema yote hii jamani? mbona bado wanahitaji kumwona mwona mama au ndio mnatafuta kuwa free? sijaipenda hiyo (from my heart)watoto wapo boarding Funzadume, hizo za kitchen/sitting room 2lizicheza sana h/boy alivyoenda likizo, imagine....no kids/no kaka kunyumba, ilikuwa kufuru....sasa kwenye hali hizi cjui mnapata wapi muda wakuombana?...heri ya mwaka kwako na familia yako my broda!
Hii nilitumia nilipo kuwa Simanjiro kwa Mmasai mmoja ilinisaidia nikabeba kiulainiiiiiiiiiiii
mmmh kweli vitanda vingekuwavinasimulia vinavyoyaona ingekuwa balaanakuwa naruka ruka kama nina kifafa. akisogea tunakamilisha mziki.
hiyo dudu yako bado inacmama? kwann unacheza na wapendwa wa bwana...kama inacmama ujue mlokole fake huyo original icngecmama milele....lol
umenikumbusha mbali sana Fidel,
kuna demu wa kimasai nilitongozaga long time,
cha kushangaza akaanza kulia,
akaenda kunishtaki kwa lwaigan,
nikaambia baba kimbia utachinjwa
sasa sijui wewe ulipataje kiulaini?
]Kwa nini umepeleka watoto boarding mapema yote hii jamani?[/COLOR] mbona bado wanahitaji kumwona mwona mama au ndio mnatafuta kuwa free? sijaipenda hiyo (from my heart)
nakuwa naruka ruka kama nina kifafa. akisogea tunakamilisha mziki.
hehehe gud moning amiri jeshi! ananielewaga sana , tulichumbiana kwenye klabu ya wajamaika. yeye mwenyewe akihtaji anakuwaga na manyago yake kuliiko yangu, mimi unaweza ukaniita mtakatifu klorokwini, ukiona hayo manyago yake.Hahahahaaaaaaaa! Wewe bana...sasa akikuletea klorokwini akidhani malaria imepanda kichwani?
hehehe gud moning amiri jeshi! ananielewaga sana , tulichumbiana kwenye klabu ya wajamaika. yeye mwenyewe akihtaji anakuwaga na manyago yake kuliiko yangu, mimi unaweza ukaniita mtakatifu klorokwini, ukiona hayo manyago yake.
deh deh deh! dah mkuu uko level nyengine kabisa, hapa kwangu anavyoanguka ndivyo anavyochinjwa. hata hivyo majuzi tulidiscover mpya inaitwa "chura kiwete" , kaeni mkao wa kula , tutaiingiza madukani muda si mrefu.Huku ni gudi ivining my fellow healer.
Wangu akiona sijachomekea sarawili anajua leo muzee nataka ile staili ya mbuzi kagoma. Sisi tumefikia hatua si ya kuombana kumegana, bali kujua muzee anataka staili gani. Nikipiga ishara ya msalaba anajua staili ya kifo cha mende imewadia.
wala hazijatoka karibuni zimetoka long time sana zinaitwa O.B
anyway ila sio vizuri uwa wana learn vitu tofauti sana tuwaombee wawe kwenye mstari mnyoofu, nimejua kama mapema kwa post zako tu nimekadiria na umri wako ur young parent wale mtoto akilia mama nae analia (joke)haaa pole kaka umejuaje kama ni mapema kama unavyosema?.....kaka mazingira broda broda...wawili boarding kadogo kwa bibi....
deh deh deh! dah mkuu uko level nyengine kabisa, hapa kwangu anavyoanguka ndivyo anavyochinjwa. hata hivyo majuzi tulidiscover mpya inaitwa "chura kiwete" , kaeni mkao wa kula , tutaiingiza madukani muda si mrefu.
Hahaha...we nimekustukia. Kuna siku utampiga ngwala kwa makusudi ili aanguke kifudifudi. Uchinjaji huo balaa.
Ila hiyo ya chura kiwete unatakiwa kuifanya usiku wakati Mungu kapumzika. Manake hata yeye atashangaa uumbaji wake unavyochakachuliwa lol
anyway ila sio vizuri uwa wana learn vitu tofauti sana tuwaombee wawe kwenye mstari mnyoofu, nimejua kama mapema kwa post zako tu nimekadiria na umri wako ur young parent wale mtoto akilia mama nae analia (joke)
hahahaha dah hapo red hapo! nazani umeniongezea kalenda yangu ya kuishi. labda waswahili waniloge.
halaf kila nikijitahidi post yangu ikae juu ya post ya nyamayao sjui kwanini sifanikiwi? help mzee wa mawodi ya kuujaza ulimwengu.Hahaha...meza asipirini mbili kwa uhakika zaidi wa idadi ya siku za kuishi