halaf kila nikijitahidi post yangu ikae juu ya post ya nyamayao sjui kwanini sifanikiwi? help mzee wa mawodi ya kuujaza ulimwengu.
hahahaha dah hapo red hapo! nazani umeniongezea kalenda yangu ya kuishi. labda waswahili waniloge.
deh deh deh! dah mkuu uko level nyengine kabisa, hapa kwangu anavyoanguka ndivyo anavyochinjwa. hata hivyo majuzi tulidiscover mpya inaitwa "chura kiwete" , kaeni mkao wa kula , tutaiingiza madukani muda si mrefu.
wala hazijatoka karibuni zimetoka long time sana zinaitwa O.B
Nyamayao huwezi kaa juu yake...anaogopa maajabu ya chura kiwete. Hivi mutu ya famasi, hiyo ya chura kiwete ukaifanya mchana wa jua kali mimba itakamata? Huku mawodi ya kina mama nna upungufu mkubwa wa wafunguliwaji. Siku hizi pafomensi ya kujifungua imeshuka sana.
OB ndio Tampons??
Wengi hawapendi kuzitumia..
tumelala mchana/ucku akiweka/nikimwekea mkono mahali fulani mambo yanajipa, kaja jikoni kachukua mwiko kaweka pembeni nazima jiko mambo yanaendelea, sitting room nikimkalia mambo yanaendelea...sasa cna hakika kama tunabakana au laaaa!
Huku ni gudi ivining my fellow healer.
Wangu akiona sijachomekea sarawili anajua leo muzee nataka ile staili ya mbuzi kagoma. Sisi tumefikia hatua si ya kuombana kumegana, bali kujua muzee anataka staili gani. Nikipiga ishara ya msalaba anajua staili ya kifo cha mende imewadia.[/QUOTE]
Hahahahaha! yani nimecheka mpaka machozi, Asprin una visa vya kikwapa wewe!!!
mmoja wapo mie, kweli huku chini kwangu cjashindilia hiyo kitu bado, ntakuwa cna amani hata robo, vitu 3 tu ndio vina mamlaka na huku chini kwangu....wacha niendelee na jassy ikipanda ntaishusha shua hivyo hivyo mpaka cku ziishe....khaaaa.
tumelala mchana/ucku akiweka/nikimwekea mkono mahali fulani mambo yanajipa, kaja jikoni kachukua mwiko kaweka pembeni nazima jiko mambo yanaendelea, sitting room nikimkalia mambo yanaendelea...sasa cna hakika kama tunabakana au laaaa!
Nyamayao!
Wewe na mwenzio wote mnapepo la ngono.
Yaani hadi kitchen? Hamchafui unga na sufulia kweli nyie?
Aaaaaaaaaagh sijaipenda hii!
hapa 2najadili nini?
Mnasjua style ya kuomba ukiwa usukumani? Uchagani? Kwa wanyaru? Wanyakyusa?
tumelala mchana/ucku akiweka/nikimwekea mkono mahali fulani mambo yanajipa, kaja jikoni kachukua mwiko kaweka pembeni nazima jiko mambo yanaendelea, sitting room nikimkalia mambo yanaendelea...sasa cna hakika kama tunabakana au laaaa!
Hahaha! hii mbona ya 1970's pamoja na 'tutakula ua fitna' basi Joseph utakuwa late 40's or early 50's.Kama uko mbali nae ndio unaweza kuomba ila kama yupo karibu matendo hutawala zaidi na atajua kuwa unataka,mimi huuliza,NDEGE ITATUA MPENZI AU UWANJA UNA MATOPE?I nakuwa imeeleweka