Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
Well Sikonge bado naamini Dr. atatusaidia kwenye mambo mengine tofauti na urais, ni hazina kubwa kwa vijana tusii expose sana ikayeyuka, ukiona adui yako anakushangilia jua kuna walakini some where, hebu fikiria kwa nini sisiem wanasema hawaoni mwingine zaidi ya Slaa? ukifikiria kwa makini mantiki yao is divide and rule they want to import to people's mind that Chadema is nothing but Slaa.Mkuu Luteni,
Wana siasa siku zote huwa wanasema Ahhh, sitaki, ahh hadi nimuulize mke wangu. Ni nchi chache sana ambazo kuna hiyo tabia ya kuanza kampeni mapema na kusema wazi kabisa ntagombea. Hata Kikwete sasa alikuwa akisema hivyohivyo. Kasema nini Dr. Slaa hilo si muhimu. Kwanza tunataka kuona anajiamini bila kujali kama atakosa kura au vipi. Kwani Karatu alianza vipi hadi akashinda? Tena huko alianza akiwa hata hafahamiki. Sasa hivi Dr. Slaa ni jina kubwa na ningelitegemea sasa awe msemaji kutoka CHADEMA kwenye hili swala la Wafanyakazi. Ni kipindi cha kutumia Lugha mbaya ya viongozi wa CCM na kujifagilia.
CCM hawajawahi kupata upinzani mkubwa kiasi hiki. Sasa wamekuwa kama Simba aliyejeruhiwa na wako tayari kumrarua mtu yeyote. Ila ukikutana na Maboxer wazuri kama Mohammed Ali au Johnson, ndiyo kwanza watazidi kukutukana kuwa ".... he wee vipi, mama yako anapiga zaidi kuliko wewe...." Sasa wewe zidi kuchukia na rusha makonde ovyo na uchoke. Hapo anakutwanga kama mtoto mdogo. Atakayekuwa Mvumilivu wa Kupokea mapigo ndiye atashinda.
Mwisho hii listi ni kutaka tu kumuonyesha kuwa tuko wengi wenye imani naye. Tanzania ni nchi ya Demokrasia. Na ni hilo leo hii tunalilaani na hivyo hatuwezi kumshambulia wala kumlazimisha mara akikataa. Kumbuka maneno ya jana ya Kikwete ya Mbayuwai kuwa "Akili za kuambiwa na changanya na akili zako......" Huyu nii Dr. wa sheria na nina imani muono wake utakuwa hata juu zaidi yetu sisi. Angelikuwa na imani na misimamo ya Watanzania ninaamini angeligombea na akamshinda Kikwete. Ila sisi ni Kigeugeu sana.
Clinton aliwaambia Wanyarwanda kuwa "mkikaa kujadiliana, hakuna uhakika mtaafikiana ila msipokaa basi hakuna kuafikiana". Na sisi tunapojaribu kuweka listi, hakuna uhakika kama Dr. Slaa atakubali ila TUSIPOJARIBU basi tuna uhakika kabisa kuwa HATAGOMBEA.
Lets see if u get to a million.. Acheni kichaa even if the total members of JF vote hapati ata 4%..lol Muacheni bungeni, miaka mingine mitano CCM will be weak enough to get a significant percentage of the vote. This is not a movie people, progress is a slow process especially if you are under a large pile of crap as we are now. So acheni upinzani wajijenge, msiwajaze vichwa maji mwishoe vibasti CCM washangilie kwa Champagne.
I agree with you but not at red, ulivyosema kwenye red ni sawa na JK alivyosema hata wafanyakazi laki tatu wakimnyima kura atashinda tu hajui impact ya hao laki tatu kuwa wanawakilisha wapigakura wangapi.Lets see if u get to a million.. Acheni kichaa even if the total members of JF vote hapati ata 4%..lol Muacheni bungeni, miaka mingine mitano CCM will be weak enough to get a significant percentage of the vote. This is not a movie people, progress is a slow process especially if you are under a large pile of crap as we are now. So acheni upinzani wajijenge, msiwajaze vichwa maji mwishoe vibasti CCM washangilie kwa Champagne.
Bila shaka natakiwa kuwa juu ya list....
Sio tu nataka Dr.Slaa agombee Urais the the sake of it...
Hii ni nafasi MOJA tu ya mgombea tofauti na nafasi za Wabunge ambazo zipo zaidi ya 200. Umuhimu wa mtu huyu mmoja unachukua nafasi kubwa ya ushindi wa Wabunge 150 ambao ndio pekee wanaweza kuleta mabadiliko bungeni..Kukosekana kwa mtu mmoja ktk ushindi hakuwezi kuleta mabadiliko bungeni haswa ukizingatia kwamba CCM will make sure wanashinda zaidi ya nusu.. Uchaguzi Zanzibar ni alama tosha kuwakumbusha madudu ya C CM.
Ushindani kwa JK ni muhimu sana ukizingatia tawala za nchi za Kiafrika - Winner takes all ina maana zaidi ya ushindi wa majimbo.
Selous nataka pia lakini isingekuwa Karatu Dr. Sllaa asingekuwepo na huenda hataki lile jimbo lirudi CCM kwa udi na uvumba.
Nitakachomwezesha Dr kugombea urais sio nini wala nini ni haya yafuatayo kama sio abishe;
- Mbadala kwa CCM pale karatu, naamini akijitokeza mwanaCHADEMA mwingine mwenye nguvu wa kukabili kishindo cha CCM atakuja kutuliza kiu yetu,
- Hofu ya kupoteza jimbo na imani pekee aliopewa na wanakaratu.... Nilipita pale nikafanya ka test kidogo.... acha huyu mtu anaheshimika pale aka Willy or Father
Nkwingwa...nami natofautiana nawe...Dr.Slaa akigombea kitakachotkea ni changamoto tu...piga ua mshindi atakuwa wa CCM,na akishindwa atakuwepo tu...upinzani bungeni utakuwa umelala doro....Ni vema akajipanga akagombea mwaka 2015 na mgombea wa CCM ambaye atakuwa ni mpya kwa kipindi hicho...yeye agombee tu ubunge mwaka huu ili ashinde na kuzidi kuleta changamoto na uhai wa opposition bungeni....Naomba agombee tu ubunge wa Karatu...Mbilinge mbilinge zake za bungeni bado zahitajika sana...pale anakuwa na uhuru sana wa kuongea na kuibua yasiyoibulika...Ningependa sana kumuona akiingia ulingoni 2015...Ni ushauri tuMkuu, una majina mawili nini? Naona umechanganya mambo. Nashindwa kukuandika kwenye listi kwa sababu umeweka jina tofauti na jina lako la JF
Mkuu Luteni,
Wana siasa siku zote huwa wanasema Ahhh, sitaki, ahh hadi nimuulize mke wangu. Ni nchi chache sana ambazo kuna hiyo tabia ya kuanza kampeni mapema na kusema wazi kabisa ntagombea. Hata Kikwete sasa alikuwa akisema hivyohivyo. Kasema nini Dr. Slaa hilo si muhimu. Kwanza tunataka kuona anajiamini bila kujali kama atakosa kura au vipi. Kwani Karatu alianza vipi hadi akashinda? Tena huko alianza akiwa hata hafahamiki. Sasa hivi Dr. Slaa ni jina kubwa na ningelitegemea sasa awe msemaji kutoka CHADEMA kwenye hili swala la Wafanyakazi. Ni kipindi cha kutumia Lugha mbaya ya viongozi wa CCM na kujifagilia.
CCM hawajawahi kupata upinzani mkubwa kiasi hiki. Sasa wamekuwa kama Simba aliyejeruhiwa na wako tayari kumrarua mtu yeyote. Ila ukikutana na Maboxer wazuri kama Mohammed Ali au Johnson, ndiyo kwanza watazidi kukutukana kuwa ".... he wee vipi, mama yako anapiga zaidi kuliko wewe...." Sasa wewe zidi kuchukia na rusha makonde ovyo na uchoke. Hapo anakutwanga kama mtoto mdogo. Atakayekuwa Mvumilivu wa Kupokea mapigo ndiye atashinda.
Mwisho hii listi ni kutaka tu kumuonyesha kuwa tuko wengi wenye imani naye. Tanzania ni nchi ya Demokrasia. Na ni hilo leo hii tunalilaani na hivyo hatuwezi kumshambulia wala kumlazimisha mara akikataa. Kumbuka maneno ya jana ya Kikwete ya Mbayuwai kuwa "Akili za kuambiwa na changanya na akili zako......" Huyu nii Dr. wa sheria na nina imani muono wake utakuwa hata juu zaidi yetu sisi. Angelikuwa na imani na misimamo ya Watanzania ninaamini angeligombea na akamshinda Kikwete. Ila sisi ni Kigeugeu sana.
Clinton aliwaambia Wanyarwanda kuwa "mkikaa kujadiliana, hakuna uhakika mtaafikiana ila msipokaa basi hakuna kuafikiana". Na sisi tunapojaribu kuweka listi, hakuna uhakika kama Dr. Slaa atakubali ila TUSIPOJARIBU basi tuna uhakika kabisa kuwa HATAGOMBEA.
21. Muhindilabda huyu dr. Slaa anatakiwa kuamshwa. Nimeona tufanye sensa ya haraka haraka humu ndani ya jf. Kwa wale wote wanaoona dr slaa agombee mwaka huu basi hebu jiandikishie jina lako tuone mwisho wa wiki tutakuwa wangapi. tujitokeze kwa wingi ili kumuonyesha dr. Slaa anavyohitajika.
Dr. Slaa, samahani nimeamua kuanzia jina lako kwa makusudi kabisa maana jemadari lazima awe mbele na wengine watafuata.
1. Dr. Slaa 2. Mkandara 3. King of kings 4. Masanilo kugema 5. Fidel80
6. Bht 7. Tanzania 8. Ndege ya uchumi 9. Jiwe 10. Jakathesi
11. Technician 12. Kilembwe 13. Ndjabu da dude 14. Bollo yeng 15. Selous
16. Nyamizi 17. Mfwatiliaji 18. Sikonge 19. Ben 20.
Acha matusi wewe....ebo!!!Alpha
Just get rid of CCM. Enough is Enough, the country cannot afford five more years of these corrupt, incompetent fools.
Junius unataka kuharibu uzuri wa thread urais wa bongo si sawa na wa US kule wanapima uwezo wa mtu kufikiri na kupambanua mambo urais wa Tanzania hata Kikwete anaweza bora liende.Kama Dr. Slaa agombee urais wa JF mimi naona anafaa sana...nchi si lelemama nyie...Obama keshaota mvi tele kwa stress.
22. Nanu21. Muhindi
Kama Dr. Slaa agombee urais wa JF mimi naona anafaa sana...nchi si lelemama nyie...Obama keshaota mvi tele kwa stress.