NI KWELI ISIYO NA SHAKA YEYOTE KUWA WENGI WANAMWABUDU SHETANI WAKIFIKIRI NI KWENDA NA WAKATI, YESU KRISTO ALIPOSEMA IMEKWISHA ALIMALIZA YOTE MSALABANI NA MTU MWINGINE YEYOTE ASIYE ENDA NA NENO LAKE YUKO KINYUME NAYE, YESU ALIWAAGIZA WANAFUNZI WAKE AKIWAAMBIA LUKA 10:9 WAPOZENI WAGONJWA WALIOMO,WAAMBIENI UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA.
Mathayo 10;7-8 HUBIRINI MKISEMA UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA, POZENI WAGONJWA,FUFUENI WAFU,TAKASENI WENYE UKOMA, TOENI PEPO.
NI KWA NENO LA IMANI KWANZA ASIYEFANYA HIVYO AFANYA KWA NGUVU NA UWEZA WA SHETANI - Hivyo hatuhitaji uponyaji wa kuoteshwa tena:angry::angry: mtapona kwa muda lakini mtakuwa watumwa wake shetani,KISHA ATAWAMALIZA MAANA TAYARI MMEMPA NAFASI, Kusudi lake daima ni moja tu asiende peke yake motoni ( je hujui kuwa shetani hana nafasi ya kutubu??????????!) POLENI SANA WA LOLIONDO.2Wakorinto 4:3-4 Lakini ikiwa injili imesitirika imesitirika kwa wao hao wanaopotea, ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikra zao, wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake KRISTO YESU aliye sura yake MUNGU.
Mathayo 10;7-8 HUBIRINI MKISEMA UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA, POZENI WAGONJWA,FUFUENI WAFU,TAKASENI WENYE UKOMA, TOENI PEPO.
NI KWA NENO LA IMANI KWANZA ASIYEFANYA HIVYO AFANYA KWA NGUVU NA UWEZA WA SHETANI - Hivyo hatuhitaji uponyaji wa kuoteshwa tena:angry::angry: mtapona kwa muda lakini mtakuwa watumwa wake shetani,KISHA ATAWAMALIZA MAANA TAYARI MMEMPA NAFASI, Kusudi lake daima ni moja tu asiende peke yake motoni ( je hujui kuwa shetani hana nafasi ya kutubu??????????!) POLENI SANA WA LOLIONDO.2Wakorinto 4:3-4 Lakini ikiwa injili imesitirika imesitirika kwa wao hao wanaopotea, ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikra zao, wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake KRISTO YESU aliye sura yake MUNGU.