Hicho ndicho kilichotokea hicho kinachoitwa Bunge! Serikali ilikuwa inawaibia wananchi, wanasimamisha wizi huo wanasema tumekusamehe. By principle, wamesisitisha kukuibia and then wanasema tumekusamehe! Mmenisamewhe kuniibia? Maajabu ya CCM for 60 yrs!
Tozo zinatozwa kwenye service rendered, pesa zangu za mshahara zikiwa bank , serikali hainipi service yoyote, wanachofanya ni kuniibia johnthebaptist
Tozo zinatozwa kwenye service rendered, pesa zangu za mshahara zikiwa bank , serikali hainipi service yoyote, wanachofanya ni kuniibia johnthebaptist