Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 988
Mkono shavuniUnanishawishi vipi ili niweze kuamini kua Mbowe ni gaidi?
1.Aliwahi kulipua wapi na kwa ushahidi upi?
2.Alishawahi kushtakiwa kwa kuua nani nani?
3.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kesi ya kupiga mtu kofi?
4.Alishawahi hata kuiba mali ya mtu?
5.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kumtukana mtu?
Kama hakuna alichowahi kufanya kati ya hayo, unanishawishi vipi niamini kua Mbowe ni Gaidi?
Watakwambia alichangia 600 000.tshUnanishawishi vipi ili niweze kuamini kua Mbowe ni gaidi?
1.Aliwahi kulipua wapi na kwa ushahidi upi?
2.Alishawahi kushtakiwa kwa kuua nani nani?
3.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kesi ya kupiga mtu kofi?
4.Alishawahi hata kuiba mali ya mtu?
5.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kumtukana mtu?
Kama hakuna alichowahi kufanya kati ya hayo, unanishawishi vipi niamini kua Mbowe ni Gaidi?
Kwahiyo hawakutaka awe na ulinzi kutoka kwa walinzi wenye vigezo?Eti ni kwa sababu tu alitafuta makomandoo kutoka JEI DABLIU TII ZEDI, tena wale walio fukizwa kazi kwa hila! wa kumlinda! Na ilikua ni kwa gharama zake.
Anatuhumiwa kuwa gaidi lkn hadi sasa haijadhibitishwa na Mahakama kuwa mh Mbowe ni gaidi.Chagua jibu sahihi
a)Ni Gaidi
b)Sio gaidi
Siku hizi UGAIDI unafadhiliwa Kwa laki 6?Watakwambia alichangia 600 000.tsh
Kwa mujibu wa wana lumumba.Siku hizi UGAIDI unafadhiliwa Kwa laki 6?
Chuki tu za kisiasaUnanishawishi vipi ili niweze kuamini kua Mbowe ni gaidi?
1.Aliwahi kulipua wapi na kwa ushahidi upi?
2.Alishawahi kushtakiwa kwa kuua nani nani?
3.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kesi ya kupiga mtu kofi?
4.Alishawahi hata kuiba mali ya mtu?
5.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kumtukana mtu?
Kama hakuna alichowahi kufanya kati ya hayo, unanishawishi vipi niamini kua Mbowe ni Gaidi?
Mambo ya hovyo kabisaSiku hizi UGAIDI unafadhiliwa Kwa laki 6?
Mbowe aachiwe mara moja, Mbowe sio gaidi!Unanishawishi vipi ili niweze kuamini kua Mbowe ni gaidi?
1.Aliwahi kulipua wapi na kwa ushahidi upi?
2.Alishawahi kushtakiwa kwa kuua nani nani?
3.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kesi ya kupiga mtu kofi?
4.Alishawahi hata kuiba mali ya mtu?
5.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kumtukana mtu?
Kama hakuna alichowahi kufanya kati ya hayo, unanishawishi vipi niamini kua Mbowe ni Gaidi?
Umejisajili kama shahidi wake kwenye utetezi?Unanishawishi vipi ili niweze kuamini kua Mbowe ni gaidi?
1.Aliwahi kulipua wapi na kwa ushahidi upi?
2.Alishawahi kushtakiwa kwa kuua nani nani?
3.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kesi ya kupiga mtu kofi?
4.Alishawahi hata kuiba mali ya mtu?
5.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kumtukana mtu?
Kama hakuna alichowahi kufanya kati ya hayo, unanishawishi vipi niamini kua Mbowe ni Gaidi?
Jaji Siyani kashindwa kutushawishi sijui nani atafanya hivyo.Unanishawishi vipi ili niweze kuamini kua Mbowe ni gaidi?
1.Aliwahi kulipua wapi na kwa ushahidi upi?
2.Alishawahi kushtakiwa kwa kuua nani nani?
3.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kesi ya kupiga mtu kofi?
4.Alishawahi hata kuiba mali ya mtu?
5.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kumtukana mtu?
Kama hakuna alichowahi kufanya kati ya hayo, unanishawishi vipi niamini kua Mbowe ni Gaidi?
Zile ID za kulipwa.Tafuta maana ya ugaidi kwanza kabla ya kuanza kudhihirisha ujinga wako hapa.
Chuki za kisiasa hazijawahi kumwacha Mtu salamaChuki tu za kisiasa
Lazima afeChuki za kisiasa hazijawahi kumwacha Mtu salama
Ww kama nanMbowe aachiwe mara moja, Mbowe sio gaidi!
CCM wanamuogopa mbowe kuliko DICK!!!!!Unanishawishi vipi ili niweze kuamini kua Mbowe ni gaidi?
1.Aliwahi kulipua wapi na kwa ushahidi upi?
2.Alishawahi kushtakiwa kwa kuua nani nani?
3.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kesi ya kupiga mtu kofi?
4.Alishawahi hata kuiba mali ya mtu?
5.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kumtukana mtu?
Kama hakuna alichowahi kufanya kati ya hayo, unanishawishi vipi niamini kua Mbowe ni Gaidi?