GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Najiuliza tu kabla sijatoa mabilioni yangu kwa Yanga. hivi nawezaje kunufaika
nikimiliki moja kati ya Timu hizi kubwa nchini moja kwa moja yaani timu iwe yangu
au kwa hisa kama alivyo MO. Kuna faida yoyote nitaipata baada ya kuwalipa
wachezaji, watendaji n.k. Mfano MO au MANJI wananufaika au watanufaika vipi?
nikimiliki moja kati ya Timu hizi kubwa nchini moja kwa moja yaani timu iwe yangu
au kwa hisa kama alivyo MO. Kuna faida yoyote nitaipata baada ya kuwalipa
wachezaji, watendaji n.k. Mfano MO au MANJI wananufaika au watanufaika vipi?