Unanyoa ama unasuka mtindo gani wa nywele

Unanyoa ama unasuka mtindo gani wa nywele

mzee wa kasumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
1,440
Reaction score
2,952
Binafsi sijawahi kuacha nywele zikuwe. Maana ni zile nywele flan hivi wenyewe wanaita kipilipili.

Aisee ukiziacha wiki mbili zinakuwa kama unga wa sumaku[emoji1].

Halafu ukizingatia sijawahi kumiliki kitana nyumbani kwangu.

Basi naamua tu kujipigia zangu LOW CUT kila wiki.

Nazungumzia nywele za kichwa jamani (kichwa cha juunchenye ubongo)

Hebu twambie wewe mnyowo wako[emoji120]
 
Binafsi sijawahi kuacha nywele zikuwe. Maana ni zile nywele flan hivi wenyewe wanaita kipilipili.

Aisee ukiziacha wiki mbili zinakuwa kama unga wa sumaku[emoji1].

Halafu ukizingatia sijawahi kumiliki kitana nyumbani kwangu.

Basi naamua tu kujipigia zangu LOW CUT kila wiki.

Nazungumzia nywele za kichwa jamani (kichwa cha juunchenye ubongo)

Hebu twambie wewe mnyowo wako[emoji120]
Then utapata pesa? Ukishajua ni aina gani ya kunyoa
 
Cheki hii cut yangu mkuu
Screenshot_20210822-190259.jpg
 
Back
Top Bottom