Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Wanaume mnaopenda kunyoa hivi huwa mna.......Cheki hii cut yangu mkuuView attachment 1903487
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume mnaopenda kunyoa hivi huwa mna.......Cheki hii cut yangu mkuuView attachment 1903487
Em malizia huwa tuna nin!????Wanaume mnaopenda kunyoa hivi huwa mna.......
Wana nini?Wanaume mnaopenda kunyoa hivi huwa mna.......
Tuna nn mkuu malizia tujielewe mnatuchkliajeWanaume mnaopenda kunyoa hivi huwa mna.......
Mjuba hio style iko hivyo hivyo ila mie mbele naachiaga zipande flani yan kutoka usogoni hapo zinaenda zikipanda mbele zinakuwa ref kidogoWeka picha tulinganishe ufanano..
Nataka nijaribu hiiView attachment 1905960
Weka picha tulinganishe ufanano..
Nataka nijaribu hiiView attachment 1905960
Tuna nn mkuu malizia tujielewe mnatuchkliaje
Huwa mnajionaga mmeyapatia maisha....😁Em malizia huwa tuna nin!????
Wanajiona wameyapatia maishaWana nini?
Hahhahah mwarabu huenda ndio mie maana wananiita mwarabu hukuHapo mwake umefanana na rafiki angu hivi mwarabu koko wa tinde. Ukute ndio wewe.. nitajaribu kunyoa hivo one day
Hahahahah style pendwa hio madem sindio mnapenda uchebeWanajiona wameyapatia maisha
Okay kumbe madem wanapenda, mie ni mmama....Hahahahah style pendwa hio madem sindio mnapenda uchebe
Kwahio we kama mama mmeo ana kidevu kama ganda la yai?😅Okay kumbe madem wanapenda, mie ni mmama....
only for smart applesView attachment 1905062
My all time fav hair style... kasoro tu way
Sio mama ni mmama yani 😂😂😂Kwahio we kama mama mmeo ana kidevu kama ganda la yai?😅
Heheheh unanitisha sio, mmama uwe na jibaba lisilo na ndevu kweli😅 ni sawa mtu ale wali na muwa!Sio mama ni mmama yani 😂😂😂
Kidevu laini
ukitaka hii style ikae poa zaidi mtu awe na kichwa cha box kama huyo jamaa na nywele zenye afya....kuna mwanangu flani nikimyoa inamkaa kinoma tena namwambiaga aje ule muda nnaokaribia kufunga ili awe mteja wa mwisho,kwangu mimi hii ndo stle nnayoipenda kuliko zote na ndo ninayonyoa kichwani kwangu na nina vinyozi wawili wanaoninyoa vizuri nikiwakosa hao basi ni bora nijinyoe mwenyewe au nighailishe maana kujinyoa napo kunanigharimu lisaa lizima na sikuhizi nimekuwa mvivu kinoma.View attachment 1905957My favourite all time style
Mganga ajigangaukitaka hii style ikae poa zaidi mtu awe na kichwa cha box kama huyo jamaa na nywele zenye afya....kuna mwanangu flani nikimyoa inamkaa kinoma tena namwambiaga aje ule muda nnaokaribia kufunga ili awe mteja wa mwisho,kwangu mimi hii ndo stle nnayoipenda kuliko zote na ndo ninayonyoa kichwani kwangu na nina vinyozi wawili wanaoninyoa vizuri nikiwakosa hao basi ni bora nijinyoe mwenyewe au nighailishe maana kujinyoa napo kunanigharimu lisaa lizima na sikuhizi nimekuwa mvivu kinoma.
😂😂 Kiswahil kimekua kigum kuelezea kichwa unapata tabu et kichwa Cha juu chenye ubongoBinafsi sijawahi kuacha nywele zikuwe. Maana ni zile nywele flan hivi wenyewe wanaita kipilipili.
Aisee ukiziacha wiki mbili zinakuwa kama unga wa sumaku[emoji1].
Halafu ukizingatia sijawahi kumiliki kitana nyumbani kwangu.
Basi naamua tu kujipigia zangu LOW CUT kila wiki.
Nazungumzia nywele za kichwa jamani (kichwa cha juunchenye ubongo)
Hebu twambie wewe mnyowo wako[emoji120]