Unanyoa ama unasuka mtindo gani wa nywele

Unanyoa ama unasuka mtindo gani wa nywele

2BD2FC63-8353-4AB1-A90C-A57D6DBE3528.jpeg
My favourite all time style
 
View attachment 1905957My favourite all time style
ukitaka hii style ikae poa zaidi mtu awe na kichwa cha box kama huyo jamaa na nywele zenye afya....kuna mwanangu flani nikimyoa inamkaa kinoma tena namwambiaga aje ule muda nnaokaribia kufunga ili awe mteja wa mwisho,kwangu mimi hii ndo stle nnayoipenda kuliko zote na ndo ninayonyoa kichwani kwangu na nina vinyozi wawili wanaoninyoa vizuri nikiwakosa hao basi ni bora nijinyoe mwenyewe au nighailishe maana kujinyoa napo kunanigharimu lisaa lizima na sikuhizi nimekuwa mvivu kinoma.
 
ukitaka hii style ikae poa zaidi mtu awe na kichwa cha box kama huyo jamaa na nywele zenye afya....kuna mwanangu flani nikimyoa inamkaa kinoma tena namwambiaga aje ule muda nnaokaribia kufunga ili awe mteja wa mwisho,kwangu mimi hii ndo stle nnayoipenda kuliko zote na ndo ninayonyoa kichwani kwangu na nina vinyozi wawili wanaoninyoa vizuri nikiwakosa hao basi ni bora nijinyoe mwenyewe au nighailishe maana kujinyoa napo kunanigharimu lisaa lizima na sikuhizi nimekuwa mvivu kinoma.
Mganga ajiganga
 
Binafsi sijawahi kuacha nywele zikuwe. Maana ni zile nywele flan hivi wenyewe wanaita kipilipili.

Aisee ukiziacha wiki mbili zinakuwa kama unga wa sumaku[emoji1].

Halafu ukizingatia sijawahi kumiliki kitana nyumbani kwangu.

Basi naamua tu kujipigia zangu LOW CUT kila wiki.

Nazungumzia nywele za kichwa jamani (kichwa cha juunchenye ubongo)

Hebu twambie wewe mnyowo wako[emoji120]
😂😂 Kiswahil kimekua kigum kuelezea kichwa unapata tabu et kichwa Cha juu chenye ubongo
 
Back
Top Bottom