Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ilikwisha sema kupitia Katibu Mkuu wake kuwa inatumia dola kukaa madarakani, kwakifupi haihitaji kura ya mtu, muhusika atatangazwa tu.
Huku ni kuchanganya dini na siasa.
Huku ni kuchanganya dini na siasa.
Bakwata ndio msemaji mkuu wa waislamu.
Ahaaaaaaa Nafikiri kwa upeo wngu hoja ujibiwa kwa hoja...Huku ni kuchanganya dini na siasa.
Bakwata ndio msemaji mkuu wa waislamu.
Naunga mkono hoja askofu hafai kabisa kupigiwa kura.