Unaomba kusamehewa madeni, halafu wewe unaongeza makato ya HESLB kutoka asilimia 8 mpaka 15

Huwa napata dakika chache sana za kutafakari watu kama ninyi lakini najiuliza kwann naumiza moyo na wajinga km ninyi?
Watu wasioweza hata kutofautisha L na R watakua na mawazo gani ya kujenga?? Ukiona hivyo jua elimu ya juu haimhusu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo

% ni liba au ni rejesho?
N kama ni lejesho nadhani unasaidiwa kumaliza deni lako haraka ili upumzike
Maisha hayapo hivyo, je mshahara wenyewe shilingi ngapi? Tusifanye mzaha kwenye maisha ya vijana wetu mnawasukumiza kwenye rushwa na vishawishi vingine kutokana na ugumu wa maisha yanayoletelezwa na makato hayo.
 
Watu wasioweza hata kutofautisha L na R watakua na mawazo gani ya kujenga?? Ukiona hivyo jua elimu ya juu haimhusu [emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini dada L na R haiwezi kumfanya mtu ashindwe kutoa mawazo. Je kama alisoma english media ambayo hawafundishi kiswahili who knows.
 
Maisha hayapo hivyo, je mshahara wenyewe shilingi ngapi? Tusifanye mzaha kwenye maisha ya vijana wetu mnawasukumiza kwenye rushwa na vishawishi vingine kutokana na ugumu wa maisha yanayoletelezwa na makato hayo.
Lipa pesaaaaaaaaaaaa wewe
 
Lakini dada L na R haiwezi kumfanya mtu ashindwe kutoa mawazo. Je kama alisoma english media ambayo hawafundishi kiswahili who knows.
English Medium bado wana somo la kiswahili... na sio sababu ya kushindwa kutofautisha hizo herufi... !
 
Lipa pesa za watu wewe, kwani ulilazimishwa kuchukua mkopo. Kipindi wenzako wamekosa ulikua unawacheka umekosaaa
Akili yako ndio imeishia hapo?Hatujakataa kulipa,ila tunacholalamika ni kuongezewa kiwango cha makato tena ghafla tu!Acha roho mbaya,jiweke kwenye mazingira kama ni wewe!
 
Hiyo

% ni liba au ni rejesho?
N kama ni lejesho nadhani unasaidiwa kumaliza deni lako haraka ili upumzike
Vipi mchina nae akiongeza % za marejesho ili tumalize haraka ni sawa kwako tupunguze bajeti ya dawa ili tumlipe mchina ?
 
Inauma sana basi tu
Sema mtu mwenye mshahara mkubwa anaona kawaida au ambaye hakunufaika anaishia kubeza tu
 
Vipi mchina nae akiongeza % za marejesho ili tumalize haraka ni sawa kwako tupunguze bajeti ya dawa ili tumlipe mchina ?
Unadhani basi hayajui hayo?Anajua kabisa msingi wa hoja ila ni mfia chama na mtetezi wa serikali!
Huyu hata kesho serikali ikisema imepunguza hizo asilimia za marejesho,atakuja hapa kupongeza!
Ndivyo walivyo!
 
Wanaoshahikia CCM na hasa Magufuli,mimi huwa nawaona mentaly wana mapungufu.
 
Maisha hayapo hivyo, je mshahara wenyewe shilingi ngapi? Tusifanye mzaha kwenye maisha ya vijana wetu mnawasukumiza kwenye rushwa na vishawishi vingine kutokana na ugumu wa maisha yanayoletelezwa na makato hayo.
Hata kabla ya hayo makato, rushwa kwa wafanyakazi na ufisadi vilikuwa vikubwa sana, sasa sijaelewa wewe unamaanisha nini kwa hilo.
Swara la ufisadi na wizi ni 5abia ya mtu.
Kuna wafanyakazi wanalipwa zaidi.ya milioni kumi na tano lakini wanafaya ufisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…