msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,888
Watu wasioweza hata kutofautisha L na R watakua na mawazo gani ya kujenga?? Ukiona hivyo jua elimu ya juu haimhusu [emoji23][emoji23][emoji23]Huwa napata dakika chache sana za kutafakari watu kama ninyi lakini najiuliza kwann naumiza moyo na wajinga km ninyi?
Maisha hayapo hivyo, je mshahara wenyewe shilingi ngapi? Tusifanye mzaha kwenye maisha ya vijana wetu mnawasukumiza kwenye rushwa na vishawishi vingine kutokana na ugumu wa maisha yanayoletelezwa na makato hayo.Hiyo
% ni liba au ni rejesho?
N kama ni lejesho nadhani unasaidiwa kumaliza deni lako haraka ili upumzike
Lakini dada L na R haiwezi kumfanya mtu ashindwe kutoa mawazo. Je kama alisoma english media ambayo hawafundishi kiswahili who knows.Watu wasioweza hata kutofautisha L na R watakua na mawazo gani ya kujenga?? Ukiona hivyo jua elimu ya juu haimhusu [emoji23][emoji23][emoji23]
Lipa pesaaaaaaaaaaaa weweMaisha hayapo hivyo, je mshahara wenyewe shilingi ngapi? Tusifanye mzaha kwenye maisha ya vijana wetu mnawasukumiza kwenye rushwa na vishawishi vingine kutokana na ugumu wa maisha yanayoletelezwa na makato hayo.
English Medium bado wana somo la kiswahili... na sio sababu ya kushindwa kutofautisha hizo herufi... !Lakini dada L na R haiwezi kumfanya mtu ashindwe kutoa mawazo. Je kama alisoma english media ambayo hawafundishi kiswahili who knows.
Akili yako ndio imeishia hapo?Hatujakataa kulipa,ila tunacholalamika ni kuongezewa kiwango cha makato tena ghafla tu!Acha roho mbaya,jiweke kwenye mazingira kama ni wewe!Lipa pesa za watu wewe, kwani ulilazimishwa kuchukua mkopo. Kipindi wenzako wamekosa ulikua unawacheka umekosaaa
Utakuwa kielimu hukufika level za kuchukua mkopo ndio maana una hasira zote hizi dhidi ya walionufaika!Lipa pesaaaaaaaaaaaa wewe
Vipi mchina nae akiongeza % za marejesho ili tumalize haraka ni sawa kwako tupunguze bajeti ya dawa ili tumlipe mchina ?Hiyo
% ni liba au ni rejesho?
N kama ni lejesho nadhani unasaidiwa kumaliza deni lako haraka ili upumzike
PointNa nyie lipeni na wengine wakopeshwe.
HahahahahahaahhahahaaBwashee jaribu kuwa mzalendo japo kwa muda tu hadi wageni waondoke!
Unadhani basi hayajui hayo?Anajua kabisa msingi wa hoja ila ni mfia chama na mtetezi wa serikali!Vipi mchina nae akiongeza % za marejesho ili tumalize haraka ni sawa kwako tupunguze bajeti ya dawa ili tumlipe mchina ?
Wanaoshahikia CCM na hasa Magufuli,mimi huwa nawaona mentaly wana mapungufu.Ndugu walimu wenzangu na wanufaika wote waliosomeshwa kwa fedha ya serikali yaani BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU (HESLB),,, Juzi Jumatatu tarehe 28.12.2020 niliomba LOAN STATEMENT ya deni langu kutoka Bodi ya mikopo ili niweze kuclear deni baki ambalo kwa mujibu wa SALARY SLIP yangu ya 31.12.2020 Deni linasomeka Tsh. Mil 4.65,,
Aidha, cha kushangaza na kushtua jana HESLB wakanitumia kwa njia ya email statement ya deni langu ambapo Deni langu linasomeka nadaiwa Tsh. Mil 12.087 wakati kwenye Salary slip ya mwezi deni ni Tsh. Mil 4.65. Kiukweli nilichanganyikiwa nikawatumia ujumbe Bodi ya mikopo kuomba ufafanuzi wa hiki na leo Jumatano asbh nikajibiwa kuwa hakuna kilichokosewa kwenye statement waliyonitumia jana.
Baada ya kuona sielewi imelazimika nisafiri hadi Halmashauri kuonana na AFISA UTUMISHI ili aweze kunipa ufafanuzi wa jambo hili, nilipofika akampigia simu AFISA kutoka makao makuu ya HESLB ambaye ndo anashugulika na makato ya fedha zote kutoka kwa wanufaika wote nchini, alimpigia palepale mbele yangu na akaweka Loud speaker yule Afisa wa Bodi akaelez a mambo mengi sanaa kuhusiana na fedha hii. Ambapo kiujumla amesema kwamba watumishi wote tunaokatwa kupitia mishahara yetu deni tunaloliona kwenye hizo salary kama linapungua sio deni halisi bali deni la halisi analodaiwa mnufaika wanalo wao Bodi kwenye mfumo wao ambao mfumo wao hauna mahusiano yyte na Mfumo wa Lawson, hivyo deni letu halisi huwa haliwi updated kwenye salary slip ndo maana tunaona kila mwezi linapungua ila kiuhalisia ni hapana..
Akaendelea kusema mtumishi yyte akitaka ajue deni lake halisi analodaiwa basi aombe Loan Statement kutoka Bodi hapo ndo anaweza kujua deni lake halisi ambalo ni tofauti sanaaa na linaloonekana kwenye Salary slip zetu...
Akasema tena deni lililopo kwenye salary slip linapokwisha mtumishi anaweza akaona kama vile kamaliza deni, kumbe kuna deni kule bodi bado wanamdai. Hivyo akasema sasahv wapo kwenye mchakato wa kuandaa barua kuwatumia waajiri wote nchini madeni mapya ya wale wote ambao washakamilisha kulipa deni la kwenye salary slip ili makato yaendelee kama kawaida..
Mwisho Afisa huyo akamuomba Afisa Utumishi anipatie mimi namba ya huyo Afisa ili kama mahali nitakuwa sijamwelewa vzr niweze kumpigia wkt wwte kwa maelezo ya kina....
Hivyo ndug watumishi na walimu wenzangu ambao ni wahanga wa hili tusijipe matumaini ya kuclear hili deni tunaweza hata kustaafu nalo. Tupambaneni kutafuta hela ili watt wetu tuwanusuru na kuongia kweny hili janga la Bodi ya mikopo ili tuwasomeshe kwa fedha zetu hata kwa kujibana maana inauma sanaaa.
Yeyote atakayehitaji namba ya simu ya huyu Afisa kutoka HESLB kwa ajili ya maelezo ya ziada anaweza kunitafuta inbox nikamtumia. Asante
BY. MWL MUSSA A. IDDY
NAMONGE SEKONDARI
Nyie walimu ni kama shamba la bibi bado makato ya CWT yanawabubiri tena, hivi kwa wingi wenu hamuwezi kugoma?
English Medium bado wana somo la kiswahili... na sio sababu ya kushindwa kutofautisha hizo herufi... !
ni kweli degree siku hizi ni makaratasi tu Bora nijiunge VETAUtakuwa kielimu hukufika level za kuchukua mkopo ndio maana una hasira zote hizi dhidi ya walionufaika!
Hata kabla ya hayo makato, rushwa kwa wafanyakazi na ufisadi vilikuwa vikubwa sana, sasa sijaelewa wewe unamaanisha nini kwa hilo.Maisha hayapo hivyo, je mshahara wenyewe shilingi ngapi? Tusifanye mzaha kwenye maisha ya vijana wetu mnawasukumiza kwenye rushwa na vishawishi vingine kutokana na ugumu wa maisha yanayoletelezwa na makato hayo.
Duuuuu booonge la jibuuu *****🤣Na nyie lipeni na wengine wakopeshwe.
Usijali,chuo cha VETA Chato kikimalika ujisajili!ni kweli degree siku hizi ni makaratasi tu Bora nijiunge VETA
🤣🤣🤣Bwashee jaribu kuwa mzalendo japo kwa muda tu hadi wageni waondoke!