Unaombaje penzi kwa Mke/Mwenza wako

Nikimpapasa tu anakuwa mkali
 
Mkuu kwani wewe umeoa lini, wakati kila siku unafanya operation tokomeza bikra pale CBE dom.
 
Mke wangu yeye akitaka utasikia "nimekuja kula tu apa kwako..lakini hata kwetu chakula kilikuepo" au utasikia "nataka niende kijijini nikakae na Mama" Hawa viumbe apo najua anataka kukunwa

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Inaonyesha unakaa mda mrefu sana bila ya kumpelekea moto ndio maana anakuambia hivyo
 
Uzi huu nilivyoina comment ya kwanza nikajisemea hii inachekesha kuliko zote ukija ya pili na tatu unaona ya kwanza haichekeshi
 
xaw
 
Hahahahahahaha
 
Demu wangu akija akiwa anataka....utaona TU ananiangaliaaa wee afu Kama anakula vidole.....huyu hujiulizi Mara mbali.........Mimi pia nikihitaji nikiita TU "Babe...!!!."afu akiitika sijibu akiniangalia tu tayr shughuli imeisha Ni kunyanduana tu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…