Unaombaje penzi kwa Mke/Mwenza wako

Kiukwel mie mpk nitumie nguvu kidg nikaona isiwe case nmetafuta mchepuko aisee yaaan unalala uchi kwahyoo nikigusa tuuu yuko tyar kwa game

Nmepanga mwez huu naamia kwa mchepuko kabsa mke atajua mwenyewe
[emoji15][emoji15][emoji15]heee sio kweli kwamba unanyimwa mpaka imekua kero mmmh siamini mkuu
 
Unaomba kitu ambacho siyo chako, cha kwako unachukua tu, shika kamata, bonyeza, funua and so on action
 
Kiukwel mie mpk nitumie nguvu kidg nikaona isiwe case nmetafuta mchepuko aisee yaaan unalala uchi kwahyoo nikigusa tuuu yuko tyar kwa game

Nmepanga mwez huu naamia kwa mchepuko kabsa mke atajua mwenyewe
Sema naye, usimkimbie mkeo. Labda kama hamjazaa.
 
Kama anadeki bila shaka anakuwa kainama, Hilo dole unaingiza wapi bosi
 
He jaman kwani ugomvi
 
Haraka haraka simameni kwanza hapa

Binafsi nakumbuka nilipo kua olevel nilikua kila dem nikimtongoza ananikatia ila nkakutana na msela akaniambia usiwatongoze wewe wazoee alaf sikumoja mpangee mkatembee alafu baada yamatembezi muombe mkapike mleee mchezo kwishaa.

Mbinu nyingine niliyokua natumia niyakumdanganya dem tukatafte kazii akikubalii nimwendo huo huo.

Je? Wewe mwenzangu unatumia mbinu gani?
 


Inama halafu inuka, inama tena na ukiinuka basi kichwani kwako akili timamu itaingia.

Kakojoe ukalale kesho uwahi shule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…