Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Kwa namna moja ama nyingine, kuna baadhi ya mahitaji yanatuwia ugumu kutamka kwa muuzaji mbele ya wateja wengine
Ukimuona mteja anakupisha uhudumiwe kwanza wewe, usidhani nia yake ni kukopa, wengine tumekuja kununua nyara hatari za kiserikali
Kwangu mie kutamka sentensi, "Mangi, nipatie wembe" mbele ya watu, huwa nafikiri watu wananichukulia mchafu. Huwa nahisi kuna kauli ya mteja inamjia kimya kimya ikimwambia "Anaenda kukwatua manyasi"
Pia kununua sabuni ya kipande usiku huwa naona soo, tena mbele ya wateja wengine inakuwa ngumu. Mara mia nitamke Condom
Unajihisi aibu kutamka bidhaa ipi ukiwa kwenye duka lililosheheni wateja?
Ukimuona mteja anakupisha uhudumiwe kwanza wewe, usidhani nia yake ni kukopa, wengine tumekuja kununua nyara hatari za kiserikali
Kwangu mie kutamka sentensi, "Mangi, nipatie wembe" mbele ya watu, huwa nafikiri watu wananichukulia mchafu. Huwa nahisi kuna kauli ya mteja inamjia kimya kimya ikimwambia "Anaenda kukwatua manyasi"
Pia kununua sabuni ya kipande usiku huwa naona soo, tena mbele ya wateja wengine inakuwa ngumu. Mara mia nitamke Condom
Unajihisi aibu kutamka bidhaa ipi ukiwa kwenye duka lililosheheni wateja?