- Thread starter
- #21
Sasa nimemkejeli nani?Wewe jamaa utakuwa na shida wewe sidhani kama upo sawa wewe umetoa Uzi watu wanakujibu vizuri unaanza tena kuwakejeli. Whats up?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nimemkejeli nani?Wewe jamaa utakuwa na shida wewe sidhani kama upo sawa wewe umetoa Uzi watu wanakujibu vizuri unaanza tena kuwakejeli. Whats up?
Bibi Yako atakuwa alikusimulia utotoni 😀Mimi huwa namuona mwanamke mzee (mgikuru) anachemsha manumbu.
Mimi naonaga mwanamke kapakata mtoto anamwangalia...ni tangu utotoni
Sasa makubwa gani tena 🤣🤣Makubwa haya!!
Anyway, ikiwa ndicho uonacho,
Basi sawa!!
Sina glass yoyote hapa!!Sasa makubwa gani tena 🤣🤣
Mkuu malizia hiyo glass 1 ulale
Mimi nilicomment nikasema.huwa naona mwanamke mwenye kufanana na bikira Maria una comment kwa emoji ya mshangao, Why? Then ukauliza sura ya bikira Maria nimeiona wapi nikakujibu ile ya kubuni ya kanisa katoliki then una comment kwa emoji ya masikitiko. Maana ake nini hiyo?Sasa nimemkejeli nani?
Hakuna kejeli hapo.Mimi nilicomment nikasema.huwa naona mwanamke mwenye kufanana na bikira Maria una comment kwa emoji ya mshangao, Why? Then ukauliza sura ya bikira Maria nimeiona wapi nikakujibu ile ya kubuni ya kanisa katoliki then una comment kwa emoji ya masikitiko. Maana ake nini hiyo?
Tunaonq sawa tangu utotoni.Mimi hua naona picha ya mwanamke akiwa na mzigo kichwani na mtoto mgongoni, halafu kama yuko kafungwa mnyororo mguuni.
Nadhani yanakuwaga ni mawazo yangu tu
UnachekeshaSina glass yoyote hapa!!
Poleni kwa mvua, pia msisahau kuhama mabondeni🙏
I wish nichore sura ya mtu huyo iliyoujaza full moon ila Sina uwezo.Mimi naonaga ni mwanamke aliyebeba mtoto huku akimwangalia huyo mtoto kwa huzuni. Mimi pia huwa kuangalia angani ni moja ya starehe yangu pendwa. Napenda sana kutazama kale ka rangi kekundu angani wakati jua likizama au kuchomoza. Au lile wingu fulani lenye umbo la uyoga napenda sana kulitazama.
Niko vizuri kabisa,Ukiwa na mawazo usitafute mawazo.
Tayari Kichwa yako INA shida Acha kuiongezea shida, utanishukuru baadae.Niko vizuri kabisa,
Hii imekuwa Moja ya starehe yangu, napenda sana utulivu,
HAPANA mawazo hata kidogo!!
Naona humjui Rabbon,Tayari Kichwa yako INA shida Acha kuiongezea shida, utanishukuru baadae.
Yeah tangu zamani sana hua naona hivyoTunaonq sawa tangu utotoni.
Hii Ina ukweli 100%Mimi naonaga mwanamke kapakata mtoto anamwangalia...ni tangu utotoni
Mwezi upi huo una mwanaume?miezi yote iwe ya dunia au kwenye space inamilikiwa na wanawake tuSalaam, Shalom!!
Nipo hapa Mahali tulivu, nimerudi kuspend muda kidogo kuangalia mwezi juu angani, hii imekuwa Moja ya starehe yangu Kwa muda sasa.
Hali ya hewa ni tulivu, hakuna wingu angani, mwezi wote mzima unaonekana vizuri kabisa,
Kuna kitu nimekuwa nakiona tangu utoto, maana TABIA na mazoea ya kutizama mwezi sijaanza Leo,
Kitu kile kile nilichokuwa nakiona tangu zamani ninapoutizama mwezi Ukiwa full bila kuzibwa na chochote ndicho nakiona hivi sasa.
Ninamwona mtu, na mtu huyo anaonekana sura yake, imeujaza mwezi wote, na mtu huyo anaangalia chini huku sisi tulipo,
Siongelei macho ya Rohoni, la, naongelea macho haya ya Damu na nyama,
Ninamwona mtu, ninaona sura ya mtu, mtu huyo ni Mwanaume, hajatabasamu Wala kukasirika, Yeye mara zote Huwa anaangalia huku tulipo WANADAMU na kuangalia kwake, kunaambatana na Nuru kuu inayoangazia Dunia nzima bila kuchoka,
Mtu huyo Si Mzee, pia Si mtoto, kwa kukadiria, ni umri wa miaka ipatayo 30-40 hivi, Kila mara nipatapo wasaa huu adimu, hutoka kumuangalia mtu huyo, ingawa Yeye hajawahi kuniangalia direct, Huwa Yuko busy kuangalia anachokiangalia duniani na Nuru kuu ikiangaza itokayo katika uso wake, natamani siku moja ageuke na kuniangalia pia Mimi ambaye, Kwa muda sasa nimekuwa nikipoteza muda mrefu kumuangalia.
SWALI: Huwa unaona nini unapoangalia full moon (mwezi)?
Karibu🙏
Who knows,Mwezi upi huo una mwanaume?miezi yote iwe ya dunia au kwenye space inamilikiwa na wanawake tu