Unaona nini kila unapoutizama mwezi (moon)?

Unaona nini kila unapoutizama mwezi (moon)?

Sasa nimemkejeli nani?
Mimi nilicomment nikasema.huwa naona mwanamke mwenye kufanana na bikira Maria una comment kwa emoji ya mshangao, Why? Then ukauliza sura ya bikira Maria nimeiona wapi nikakujibu ile ya kubuni ya kanisa katoliki then una comment kwa emoji ya masikitiko. Maana ake nini hiyo?
 
Mimi naonaga ni mwanamke aliyebeba mtoto huku akimwangalia huyo mtoto kwa huzuni. Mimi pia huwa kuangalia angani ni moja ya starehe yangu pendwa. Napenda sana kutazama kale ka rangi kekundu angani wakati jua likizama au kuchomoza. Au lile wingu fulani lenye umbo la uyoga napenda sana kulitazama.
 
Mimi nilicomment nikasema.huwa naona mwanamke mwenye kufanana na bikira Maria una comment kwa emoji ya mshangao, Why? Then ukauliza sura ya bikira Maria nimeiona wapi nikakujibu ile ya kubuni ya kanisa katoliki then una comment kwa emoji ya masikitiko. Maana ake nini hiyo?
Hakuna kejeli hapo.

Amani, Amani.
 
Mimi naonaga ni mwanamke aliyebeba mtoto huku akimwangalia huyo mtoto kwa huzuni. Mimi pia huwa kuangalia angani ni moja ya starehe yangu pendwa. Napenda sana kutazama kale ka rangi kekundu angani wakati jua likizama au kuchomoza. Au lile wingu fulani lenye umbo la uyoga napenda sana kulitazama.
I wish nichore sura ya mtu huyo iliyoujaza full moon ila Sina uwezo.

Anyway, kutizama uumbaji wa Mungu, ni burudani sana,

Siku moja nikaona kimondo kikipita Kwa Kasi ya ajabu, na haikuwa juu sana,

Kufumba na kufumbua, hakikuonekana tena!!!
 
Salaam, Shalom!!

Nipo hapa Mahali tulivu, nimerudi kuspend muda kidogo kuangalia mwezi juu angani, hii imekuwa Moja ya starehe yangu Kwa muda sasa.

Hali ya hewa ni tulivu, hakuna wingu angani, mwezi wote mzima unaonekana vizuri kabisa,

Kuna kitu nimekuwa nakiona tangu utoto, maana TABIA na mazoea ya kutizama mwezi sijaanza Leo,

Kitu kile kile nilichokuwa nakiona tangu zamani ninapoutizama mwezi Ukiwa full bila kuzibwa na chochote ndicho nakiona hivi sasa.

Ninamwona mtu, na mtu huyo anaonekana sura yake, imeujaza mwezi wote, na mtu huyo anaangalia chini huku sisi tulipo,

Siongelei macho ya Rohoni, la, naongelea macho haya ya Damu na nyama,

Ninamwona mtu, ninaona sura ya mtu, mtu huyo ni Mwanaume, hajatabasamu Wala kukasirika, Yeye mara zote Huwa anaangalia huku tulipo WANADAMU na kuangalia kwake, kunaambatana na Nuru kuu inayoangazia Dunia nzima bila kuchoka,

Mtu huyo Si Mzee, pia Si mtoto, kwa kukadiria, ni umri wa miaka ipatayo 30-40 hivi, Kila mara nipatapo wasaa huu adimu, hutoka kumuangalia mtu huyo, ingawa Yeye hajawahi kuniangalia direct, Huwa Yuko busy kuangalia anachokiangalia duniani na Nuru kuu ikiangaza itokayo katika uso wake, natamani siku moja ageuke na kuniangalia pia Mimi ambaye, Kwa muda sasa nimekuwa nikipoteza muda mrefu kumuangalia.

SWALI: Huwa unaona nini unapoangalia full moon (mwezi)?

Karibu🙏
Mwezi upi huo una mwanaume?miezi yote iwe ya dunia au kwenye space inamilikiwa na wanawake tu
 
Mwezi upi huo una mwanaume?miezi yote iwe ya dunia au kwenye space inamilikiwa na wanawake tu
Who knows,

Labda ni reflection ya jua.

Mimi ndicho nimekuwa nikikiona kitambo sasa!!
 
Back
Top Bottom