Halafu hii hali ya kupenda kutazama angani, ilikwepo tokea enzi na enzi ya vizazi kwa baadhi ya watu. Hakika mungu alikuwa fundi stadi sana.I wish nichore sura ya mtu huyo iliyoujaza full moon ila Sina uwezo.
Anyway, kutizama uumbaji wa Mungu, ni burudani sana,
Siku moja nikaona kimondo kikipita Kwa Kasi ya ajabu, na haikuwa juu sana,
Kufumba na kufumbua, hakikuonekana tena!!!
Mleta mada,Hadi Opthalmologist mwenyewe anaona ninachoona Mimi wewe inakuaje utake Mimi nimuone baba wa makamo? Asante Daktari bingwa wa nerve za macho😁😁😁😁Hii Ina ukweli 100%
Halafu Mimi siongelei theories,Mwezi upi huo una mwanaume?miezi yote iwe ya dunia au kwenye space inamilikiwa na wanawake tu
I wish niione picha ya moon uliyokuwa zoomed!!wataalamu wanasema ile picha kma ya mtu unayoona pale ni vimilima vya michanga pamoja na crater zilizopo kwenye mwezi, ingia youtube afu angalia mwezi wakiwa wame uzoom, utakuja kugundua hamna picha wala sura ya mtu yeyote.
Sasa huoni kuwa, ukiweza kuwafanya Wana JF kuweka smart phone zao pembeni japo Kwa dakika 20 na Kutoka nje kuangalia mwezi,Watu wenye matatizo ya akili ni wengi humu JF
Na hao nao watakuwa na matatizo ya akili 😂Sasa huoni kuwa, ukiweza kuwafanya Wana JF kuweka smart phone zao pembeni japo Kwa dakika 20 na Kutoka nje kuangalia mwezi,
Huoni hayo ni mafanikio?
Mimi Kuna Mbwa wangu Nilimfuga mda mrefu sana, sema alikufa ila kila Nikiangalia kwenye mwezi namuona!Mleta mada,Hadi Opthalmologist mwenyewe anaona ninachoona Mimi wewe inakuaje utake Mimi nimuone baba wa makamo? Asante Daktari bingwa wa nerve za macho😁😁😁😁
Ulimpenda sana?Mimi Kuna Mbwa wangu Nilimfuga mda mrefu sana, sema alikufa ila kila Nikiangalia kwenye mwezi namuona!
Tena kuna Muda hata lile Jua la Jioni linalozama namuona Pia
Saana ni kwa sababu Nilimchukua Akiwa mdogo sana nikamlea kwa kuwa naye karibu kumfundisha mwenyewe kila kitu alikuja kufa akiwa na miaka mitano!..Ulimpenda sana?
Kwa upande wangu toka zamani kila ninapouangalua mwezi naona mama kabeba mtoto.Salaam, Shalom!!
Nipo hapa Mahali tulivu, nimerudi kuspend muda kidogo kuangalia mwezi juu angani, hii imekuwa Moja ya starehe yangu Kwa muda sasa.
Hali ya hewa ni tulivu, hakuna wingu angani, mwezi wote mzima unaonekana vizuri kabisa,
Kuna kitu nimekuwa nakiona tangu utoto, maana TABIA na mazoea ya kutizama mwezi sijaanza Leo,
Kitu kile kile nilichokuwa nakiona tangu zamani ninapoutizama mwezi Ukiwa full bila kuzibwa na chochote ndicho nakiona hivi sasa.
Ninamwona mtu, na mtu huyo anaonekana sura yake, imeujaza mwezi wote, na mtu huyo anaangalia chini huku sisi tulipo,
Siongelei macho ya Rohoni, la, naongelea macho haya ya Damu na nyama,
Ninamwona mtu, ninaona sura ya mtu, mtu huyo ni Mwanaume, hajatabasamu Wala kukasirika, Yeye mara zote Huwa anaangalia huku tulipo WANADAMU na kuangalia kwake, kunaambatana na Nuru kuu inayoangazia Dunia nzima bila kuchoka,
Mtu huyo Si Mzee, pia Si mtoto, kwa kukadiria, ni umri wa miaka ipatayo 30-40 hivi, Kila mara nipatapo wasaa huu adimu, hutoka kumuangalia mtu huyo, ingawa Yeye hajawahi kuniangalia direct, Huwa Yuko busy kuangalia anachokiangalia duniani na Nuru kuu ikiangaza itokayo katika uso wake, natamani siku moja ageuke na kuniangalia pia Mimi ambaye, Kwa muda sasa nimekuwa nikipoteza muda mrefu kumuangalia.
SWALI: Huwa unaona nini unapoangalia full moon (mwezi)?
Karibu🙏
Mbona inashangaza hii!!Kwa upande wangu toka zamani kila ninapouangalua mwezi naona mama kabeba mtoto.
Wengine wanaona mama kabeba mtoto,Mimi sijawah kufuga mbwa lkn always ndio kitu nakiona naona kama mbwa ameruka hv Kwa miguu ya mbele...tangu nipo mtoto naonaga hv
Yeah. Mpeni maua yake.Halafu hii hali ya kupenda kutazama angani, ilikwepo tokea enzi na enzi ya vizazi kwa baadhi ya watu. Hakika mungu alikuwa fundi stadi sana.