Unaonaga aibu kununua kitu gani dukani ukikuta muuzaji jinsia tofauti na yako?

Unaonaga aibu kununua kitu gani dukani ukikuta muuzaji jinsia tofauti na yako?

Mimi nikikuta muuzaji ni ke au unamkuta mama flani hivi wa makamo Kama ya bimkubwa mood ya kununua vitu hivi inaisha..
Condom
Boxer
Pedi kwa ajiri ya mchumba
Chupi kwa ajiri ya mchumba
Dawa za gono
Dawa za kuongeza nguvu za kiume
Energy
Rasta
Mafuta ya kupaka baby care

Je, wewe unaonaga aibu kununua vitu gani?
Juice ya embe
 
Back
Top Bottom