Unaonaje hii? Embu toa maoni yako.

Unaonaje hii? Embu toa maoni yako.

Cha msingi ni upendo na heshima basiiiii,hayo mengine mbwembwee tu,
Tena huyo atakuheshimu kupita hata uliyemzidi umri,ninao mfano ndio maana nalisemea hili.
 
kama hamjapichana sana na kama mmebalance kwa mambo mengine (pato, authority etc) hakuna shida. ila kama amekuzidi umri, akuzidi pato, akuzidi charisma na mengine basi hapo noma.
 
umri hauna nafasi sana kwenye mapenzi ya dhati labda fwedhwa u can question!
 
Have you ever tested Mari.wana? Or mashati ya shule? It feels good!
Ngoja nikuambie kama baba alivyomwambia Mr. Bones "Don't be scared to test the breast of a woman"

The red ones not at all, but the blue one yes! YES In need and indeed
 
kama hamjapichana sana na kama mmebalance kwa mambo mengine (pato, authority etc) hakuna shida. ila kama amekuzidi umri, akuzidi pato, akuzidi charisma na mengine basi hapo noma.

Hapo nimekupata...kama mwanaume kampita umri but mwenye charisma, pesa, elimu ni mwanamke inakuaje hapo?
 
Back
Top Bottom