Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
🤣🤣Vipi umesimuliwa au na wewe ni miongoni mwao mnaokula hizo starehe huko Maldives?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣Vipi umesimuliwa au na wewe ni miongoni mwao mnaokula hizo starehe huko Maldives?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa starehe za kiwango cha kutisha kwa sasa mahali pake ni katika visiwa Maldives vilivyopo ndani ya Bahari ya Hindi huko Asia.
Haipo starehe ndani ya Ulimwengu huu utaikosa huko Maldives!
Matendo ya kishetani yatendekayo katika visiwa vile ni zaidi ya kusimuliwa.
Usichokijua Visiwa hivyo vipo kwenye hatari ya kumezwa na Bahari ndiyo maana watu wengi wa Mungu wanadai hiyo pengine ni adhabu fanani na ya Sodoma na Gumola.
Msiwe mnaangalia senema yu tyubu, kisha mnatuhadithia humu tafadhali..[emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂Wakati nina kibubu changu cha kwenda huko aisee
Best question ever!!Vipi umesimuliwa au na wewe ni miongoni mwao mnaokula hizo starehe huko Maldives?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ukiwa tayar nistue, napenda kwenda Maldives mie yaan mweeeh. [emoji23][emoji23]Wakati nina kibubu changu cha kwenda huko aisee
Kwani kuna nini ambacho wametuzidi?Kwa starehe za kiwango cha kutisha kwa sasa mahali pake ni katika visiwa Maldives vilivyopo ndani ya Bahari ya Hindi huko Asia.
Haipo starehe ndani ya Ulimwengu huu utaikosa huko Maldives!
Matendo ya kishetani yatendekayo katika visiwa vile ni zaidi ya kusimuliwa.
Usichokijua Visiwa hivyo vipo kwenye hatari ya kumezwa na Bahari ndiyo maana watu wengi wa Mungu wanadai hiyo pengine ni adhabu fanani na ya Sodoma na Gumola.