Unapafahamu Maldives? Huenda ndiyo Sodoma na Gomora ya leo

Hatimae tumempata nancy mitikisiko wa jf🙌🙌🙌🙌🙌
 

Ila mwenzenu nimechoka na hawa watanzania ambao hawana akili hata za kujisomea tu,,, isinyeshe mvua adhabu ya mungu, visiwa kumezwa adhabu ya mungu!! Huyo Mungu aache kumeza washngton marekan au nch ya USA au Uingereza ambako ndo dhambi zote hata ambazo hujawai zisikia zimehalalishwa ameze maldives!!

Husomi kuhusu rise in sea level due to Global warming ww??
 
Stress mbaya mkuu[emoji4]
 
Olah babake huku ndo kwnyw sasa tuachane na fiction story za mtoa mada[emoji2]
 
Wanapima kwnza ukimwi au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…