Unapafahamu Maldives? Huenda ndiyo Sodoma na Gomora ya leo

Sasa hapo utajuaje kuwa huyu ni me ana huyu ni ke ?
 
Sasa hapo utajuaje kuwa huyu ni me ana huyu ni ke ?
Kuna jamaa yangu mmoja Ni mkenya, tulkua wote bankok na ilkua Ni siku ya Kwanza kwake kufika uko.

Ilkua usku Tulkua tunachek Mpira stadium, Sasa alvoenda Men washroom akaona mwanaume Yuko na papuchi anajifuta na taulo.

Alitoka nduki balaa, akaja ananisimulia kakutana na jini la kiume lenye uke chooni.[emoji1787]
 
Sasa kwa mwanaume waliembadilisha clit wanaiwekaje?
Nyama za pembeni za uume ulioondolewa ndo zinatengeneza mashavu ya uke kwa ndani, ili kuleta utamu anavosex.

Afu clit inatengenezwa kwa ile nyama ilio-sensitive Sana ya kichwa Cha uume, ili kuleta utamu maradufu sehemu ile inapoguswa anaposex au kumasterbate
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ€πŸ’ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…