Unapafahamu Maldives? Huenda ndiyo Sodoma na Gomora ya leo

Mkuu kama hutajari dadavua story za pataya kama nimepatia ili nasi tuwe na cha kisimilia kwenye vijiwe vyetu kama alivyofanya mleta uzi
Pattaya ni pazuri kwa over 50 wengi kutoka sehemu mbalimbali duniani huenda kuishi hapo baada ya ku-retire.

Maisha yake ni rahisi na nafuu kwelikweli na ile hali yake ya hewa ya joto ndo kabisa .

Ni mji maarufu baada ya Bangkok na ule ukanda wake uitwao Pattaya Bay ndo usiseme.

Ila ni hii ndo sehemu alipaswa kuzungumzia mleta mada kwa mambo yake ya ile michezo iitwayo "kathoey Cabaret" maeneo ya Jomtien Complex.

Kisha kuna maeneo ambayo mtu wa kawaida na umefika sehemu hiyo kwa mara ya kwanza wabakia kushangaa tu kutokea dirisha la hotelini kama kule Shunee Plaza na Boyztown.

Kuna siku nimelala hotelini nikasikia kama kunapigwa ile ngoma ya daku kula kumbe ni zile ngoma zao maalum wale jamaa.

Halafu mwisho, vibaka wa Pattaya ni zaidi ya vibaka wa kariakoo kwani wao hutumia mtindo wa "Confidence trick" yaani wacheza ngoma huvia watu walolewa kukuzuga huku ukiyumba na ukiwafuata wanavyocheza ndivyo waishia (bila kijitambua ) ukitoa hela za kuwatuza, mimi sijaielewa ile bado.

Tokea siku ile huwa naishia Bangkok tu na Kuala Lumpur.
 
mkuu bdo upo huko?
 
mkuu bdo upo huko?
No, last time ilikuwa ni 2017

Ila ni sehemu hatihati kimazingira kwani kuna tishio la Tsunami na mafuriko kama si gharika kuu.

Sisi waafrika hizo sehemu tunazo si twaweza kuzitengeneza?

Pwani za Mtwara, Tanga, Coco Beach, Matema Beach, Kisiju Pwani, Bagamoyo na kadhalika zaweza kabisa kuwa Pattaya zetu.

Ni kutumia akili tu kubuni miundombinu ya kibiashara.
 
Kwenye ubora wako mzee mwenzangu.

Ingekuwa bado nahangaika na dunia, ningetafuna nauli niende nikaliwakilishe taifa.. naimani mpaka arudi TZ wazungu wangekuwa wanamiminika kutafuta DUNGUSO zetu.
 
Hawa huwa wanaguswa guswa, mtu akikojoa kimoja chalii, mpaka aboost tena [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…