Kweli mambo ni kutisha hukoWanyama mbalimbali beach ya marbella, Spain[emoji4][emoji116]View attachment 2067334View attachment 2067335View attachment 2067338View attachment 2067339View attachment 2067341View attachment 2067344
thailand kuna sehem inaitwa pataya ni hatari tupuDuniani kote mambo ya hivyo yapo na kuna visiwa ambapo watu wanatembea uchi kabisa
Kuna beaches 12 huko Caribbean na kuna mambo ya ajabu ambayo mengine utabaki kupanua mdomo tu kwa kushangaa
Endelea kupekua au tembelea vijiwe tena maana sidhani kama umesafiri hata zaidi ya maili 2000
Hawa ni wale wanaosikiliza Jamal sijui nani wa STORYMsiwe mnaangalia senema yu tyubu, kisha mnatuhadithia humu tafadhali..[emoji23][emoji23][emoji23]
Unaambiwa hapa karibu nusu ya hawa watu ni WaarabuNi hatari Sana mkuu,
Ikifika Usiku huwa wanafanya mashindano ya maalum kuzagamuana hadharani ukumbini,
Kuna wanawake wanakwambia,
Mimi hata watu Mia njooni nawahimili, Basi kila mtu anayejiskia anaenda kumpeleka Moto.[emoji4][emoji116]View attachment 2067661View attachment 2067662
Are u sure ni Mungu anawajaalia, Shetani hawezi kuwajaalia?Huwa najiuliza sana, huko watu wanafanya maasi ya kila aina na Mungu anawajaalia zaidi kila kukicha na hawana habari naye kabisa.
Sisi huku tunaokesha makanisani na misikitini mabalaa kibao, umasikini, njaa maradhi n.k
Uongo mtupu.Kwa starehe za kiwango cha kutisha kwa sasa mahali pake ni katika visiwa Maldives vilivyopo ndani ya Bahari ya Hindi huko Asia.
Haipo starehe ndani ya Ulimwengu huu utaikosa huko Maldives!
Matendo ya kishetani yatendekayo katika visiwa vile ni zaidi ya kusimuliwa.
Usichokijua Visiwa hivyo vipo kwenye hatari ya kumezwa na Bahari ndiyo maana watu wengi wa Mungu wanadai hiyo pengine ni adhabu fanani na ya Sodoma na Gumola.
Nadhani kiimani kila linalotikea liwe baya au zuri ni majaaliwa yake Mungu.Are u sure ni Mungu anawajaalia, Shetani hawezi kuwajaalia?
Ha ha ha.....watakua nao walikua wakiusoma wanafurahia kimya kimya[emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walikuwa wanakupunguza kasi maana wewe ndo ulikuwa mpostiji mzuri wa hayo mapicha picha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuzur sn kule Kalpana [emoji4]Kweli mambo ni kutisha huko
Huenda Ni kweli[emoji4]Unaambiwa hapa karibu nusu ya hawa watu ni Waarabu
Wanaenda na kanzu na hijabu zinaachwa mpakani kabla ya kuingia Marbella
Halafu Arabs ndo wanajiona saints sana,kuliko wote kumbe wanatuzuga huku bongoland tu
Mnasuuuza macho π π π π
Hii sio scene ya kwenye dancing bear ??? π π πNi hatari Sana mkuu,
Ikifika Usiku huwa wanafanya mashindano ya maalum kuzagamuana hadharani ukumbini,
Kuna wanawake wanakwambia,
Mimi hata watu Mia njooni nawahimili, Basi kila mtu anayejiskia anaenda kumpeleka Moto.[emoji4][emoji116]View attachment 2067661View attachment 2067662
Bilapicha ni umbeaKwa starehe za kiwango cha kutisha kwa sasa mahali pake ni katika visiwa Maldives vilivyopo ndani ya Bahari ya Hindi huko Asia.
Haipo starehe ndani ya Ulimwengu huu utaikosa huko Maldives!
Matendo ya kishetani yatendekayo katika visiwa vile ni zaidi ya kusimuliwa.
Usichokijua Visiwa hivyo vipo kwenye hatari ya kumezwa na Bahari ndiyo maana watu wengi wa Mungu wanadai hiyo pengine ni adhabu fanani na ya Sodoma na Gumola.