Unapafahamu Maldives? Huenda ndiyo Sodoma na Gomora ya leo

Hio ni Ibiza mkuu!
 
CHAPUTA!
 
Aliniomba nimpeleke huko nikagoma akanipiga chini
 
This year lazima nikale bata Maldives!
 
Acha nilale. Umeshaniletea zambi machoni, kumbavu kabisa[emoji1787][emoji1787]
 
Duuuuh yaan huko ni mwendo wa mizagamuo tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni hatari Sana mkuu,
Ikifika Usiku huwa wanafanya mashindano ya maalum kuzagamuana hadharani ukumbini,

Kuna wanawake wanakwambia,
Mimi hata watu Mia njooni nawahimili, Basi kila mtu anayejiskia anaenda kumpeleka Moto.[emoji4][emoji116]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…