LGE2024 Unapaswa kuchagua Wenyeviti wa Serikali za Mitaa kutoka Chadema ili kulinda Mazingira, Ofisi zote za serikali za Mitaa Nchi Nzima hazina vyoo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ofisi nyingi za serikali za mitaa ama labda zote Nchini Tanzania hazina vyoo (Naweza kuthibitisha), Hii maana yake ni kwamba Wenyeviti waliopo na wananchi wanaopata huduma kwenye ofisi hizo wanajisaidia vichakanii na kusababisha uchafu na uharibifu wa Mazingira.

Kushindwa kujenga Vyoo kwenye ofisi hizo ambazo ndio sehemu yao ya kazi za kila siku, ni kushindwa kuwajibika kwa viongozi waliopo na kimsingi ni kushindwa kazi , ukichanganya na rushwa kwa wale wanaotaka barua za Utambulisho pamoja kuuzwa kiholela kwa Maeneo ya Wazi, Watu hawa hawapaswi kupewa dhamana hii tena.

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa ndio Kodineta wa kampeni zote za Usafi kwenye eneo lake, Zikiwemo kampeni za kutokomeza Kipindupindu, Hawa ambao wanashindwa hata kujenga vyoo vya matundu mawili watawezaje kudhibiti Magonjwa ya Mlipuko?



Ndugu Mwananchi hii ni nafasi yako ya kuondoa Uvundo wa mikojo na kinyesi mtaani kwako, kwa kuchagua viongozi makini kutoka Chadema, Wapigie kura Wagombea wa Chadema na Uilinde kura yako.



Hii ni Kwa sababu, MATATIZO HAYAWEZI KUMALIZWA KWA KUTUMIA AKILI ZILE ZILE ZA WATU WALEWALE WALIOYALETA

Chagua Chadema kwa ajili ya Heshima ya Kijiji Chako
 
mjenge kwanza kile choo cha pale ufipa ni kichafu mno.

Halafu mbona kuna maganda ya kondom mule chooni aise huwa mnafanya nini nazo kwenye vyoo vya ofisi ndrugo zangu chadema?
 
Turushie choo cha iliyokuwa ofisi ya ufipa kwa miaka thelathini
 

It will begin with you ,,inaanza na ww kuchagua Maendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…