LGE2024 Unapaswa kuchagua Wenyeviti wa Serikali za Mitaa kutoka Chadema ili kulinda Mazingira, Ofisi zote za serikali za Mitaa Nchi Nzima hazina vyoo

LGE2024 Unapaswa kuchagua Wenyeviti wa Serikali za Mitaa kutoka Chadema ili kulinda Mazingira, Ofisi zote za serikali za Mitaa Nchi Nzima hazina vyoo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ofisi nyingi za serikali za mitaa ama labda zote Nchini Tanzania hazina vyoo (Naweza kuthibitisha), Hii maana yake ni kwamba Wenyeviti waliopo na wananchi wanaopata huduma kwenye ofisi hizo wanajisaidia vichakanii na kusababisha uchafu na uharibifu wa Mazingira.

Kushindwa kujenga Vyoo kwenye ofisi hizo ambazo ndio sehemu yao ya kazi za kila siku, ni kushindwa kuwajibika kwa viongozi waliopo na kimsingi ni kushindwa kazi , ukichanganya na rushwa kwa wale wanaotaka barua za Utambulisho pamoja kuuzwa kiholela kwa Maeneo ya Wazi, Watu hawa hawapaswi kupewa dhamana hii tena.

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa ndio Kodineta wa kampeni zote za Usafi kwenye eneo lake, Zikiwemo kampeni za kutokomeza Kipindupindu, Hawa ambao wanashindwa hata kujenga vyoo vya matundu mawili watawezaje kudhibiti Magonjwa ya Mlipuko?

View attachment 3124762

Ndugu Mwananchi hii ni nafasi yako ya kuondoa Uvundo wa mikojo na kinyesi mtaani kwako, kwa kuchagua viongozi makini kutoka Chadema, Wapigie kura Wagombea wa Chadema na Uilinde kura yako.

View attachment 3124757

Hii ni Kwa sababu, MATATIZO HAYAWEZI KUMALIZWA KWA KUTUMIA AKILI ZILE ZILE ZA WATU WALEWALE WALIOYALETA

Chagua Chadema kwa ajili ya Heshima ya Kijiji Chako
Nyie Kama chama mmefanya nini??
 
Ofisi nyingi za serikali za mitaa ama labda zote Nchini Tanzania hazina vyoo (Naweza kuthibitisha), Hii maana yake ni kwamba Wenyeviti waliopo na wananchi wanaopata huduma kwenye ofisi hizo wanajisaidia vichakanii na kusababisha uchafu na uharibifu wa Mazingira.

Kushindwa kujenga Vyoo kwenye ofisi hizo ambazo ndio sehemu yao ya kazi za kila siku, ni kushindwa kuwajibika kwa viongozi waliopo na kimsingi ni kushindwa kazi , ukichanganya na rushwa kwa wale wanaotaka barua za Utambulisho pamoja kuuzwa kiholela kwa Maeneo ya Wazi, Watu hawa hawapaswi kupewa dhamana hii tena.

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa ndio Kodineta wa kampeni zote za Usafi kwenye eneo lake, Zikiwemo kampeni za kutokomeza Kipindupindu, Hawa ambao wanashindwa hata kujenga vyoo vya matundu mawili watawezaje kudhibiti Magonjwa ya Mlipuko?

View attachment 3124762

Ndugu Mwananchi hii ni nafasi yako ya kuondoa Uvundo wa mikojo na kinyesi mtaani kwako, kwa kuchagua viongozi makini kutoka Chadema, Wapigie kura Wagombea wa Chadema na Uilinde kura yako.

View attachment 3124757

Hii ni Kwa sababu, MATATIZO HAYAWEZI KUMALIZWA KWA KUTUMIA AKILI ZILE ZILE ZA WATU WALEWALE WALIOYALETA

Chagua Chadema kwa ajili ya Heshima ya Kijiji Chako
Nimeisha jiandikisha mkuu, nasubiri drama za ccm ,moto utawaka
 
Ofisi nyingi za serikali za mitaa ama labda zote Nchini Tanzania hazina vyoo (Naweza kuthibitisha), Hii maana yake ni kwamba Wenyeviti waliopo na wananchi wanaopata huduma kwenye ofisi hizo wanajisaidia vichakanii na kusababisha uchafu na uharibifu wa Mazingira.

Kushindwa kujenga Vyoo kwenye ofisi hizo ambazo ndio sehemu yao ya kazi za kila siku, ni kushindwa kuwajibika kwa viongozi waliopo na kimsingi ni kushindwa kazi , ukichanganya na rushwa kwa wale wanaotaka barua za Utambulisho pamoja kuuzwa kiholela kwa Maeneo ya Wazi, Watu hawa hawapaswi kupewa dhamana hii tena.

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa ndio Kodineta wa kampeni zote za Usafi kwenye eneo lake, Zikiwemo kampeni za kutokomeza Kipindupindu, Hawa ambao wanashindwa hata kujenga vyoo vya matundu mawili watawezaje kudhibiti Magonjwa ya Mlipuko?

View attachment 3124762

Ndugu Mwananchi hii ni nafasi yako ya kuondoa Uvundo wa mikojo na kinyesi mtaani kwako, kwa kuchagua viongozi makini kutoka Chadema, Wapigie kura Wagombea wa Chadema na Uilinde kura yako.

View attachment 3124757

Hii ni Kwa sababu, MATATIZO HAYAWEZI KUMALIZWA KWA KUTUMIA AKILI ZILE ZILE ZA WATU WALEWALE WALIOYALETA

Chagua Chadema kwa ajili ya Heshima ya Kijiji Chako
Watakuaje na vyoo wakati ni mafisadi na majizi makubwa ya Hela za umma! Pumbavu sana!
 
Ofisi nyingi za serikali za mitaa ama labda zote Nchini Tanzania hazina vyoo (Naweza kuthibitisha), Hii maana yake ni kwamba Wenyeviti waliopo na wananchi wanaopata huduma kwenye ofisi hizo wanajisaidia vichakanii na kusababisha uchafu na uharibifu wa Mazingira.

Kushindwa kujenga Vyoo kwenye ofisi hizo ambazo ndio sehemu yao ya kazi za kila siku, ni kushindwa kuwajibika kwa viongozi waliopo na kimsingi ni kushindwa kazi , ukichanganya na rushwa kwa wale wanaotaka barua za Utambulisho pamoja kuuzwa kiholela kwa Maeneo ya Wazi, Watu hawa hawapaswi kupewa dhamana hii tena.

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa ndio Kodineta wa kampeni zote za Usafi kwenye eneo lake, Zikiwemo kampeni za kutokomeza Kipindupindu, Hawa ambao wanashindwa hata kujenga vyoo vya matundu mawili watawezaje kudhibiti Magonjwa ya Mlipuko?

View attachment 3124762

Ndugu Mwananchi hii ni nafasi yako ya kuondoa Uvundo wa mikojo na kinyesi mtaani kwako, kwa kuchagua viongozi makini kutoka Chadema, Wapigie kura Wagombea wa Chadema na Uilinde kura yako.

View attachment 3124757

Hii ni Kwa sababu, MATATIZO HAYAWEZI KUMALIZWA KWA KUTUMIA AKILI ZILE ZILE ZA WATU WALEWALE WALIOYALETA

Chagua Chadema kwa ajili ya Heshima ya Kijiji Chako
Chadema wanawaza kumwaga mzigo chooni, wakati CCM wanawaza kujenga daraja la Jangwani na Akulaza lami nchi nzima.

Kama ndio akili zao zinawaza Knya, Hawa ndio tuwakabidhi nchi?
 
Chadema wanawaza kumwaga mzigo chooni, wakati CCM wanawaza kujenga daraja la Jangwani na Akulaza lami nchi nzima.

Kama ndio akili zao zinawaza Knya, Hawa ndio tuwakabidhi nchi?
Akili yako imejaa kipindupindu tupu yaani! Hivi aliyeshindwa kujenga Choo ataweza madaraja?
 
Back
Top Bottom