Unapata changamoto kutumia WhatsApp?

Unapata changamoto kutumia WhatsApp?

George Betram

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
4,672
Reaction score
6,272
WhatsApp sijui wana shida gani na mimi?

Mwanzo nilikuwa natumia Iphone, shemeji/wifi yenu akaninyang'anya akanipa simu yake aliyokuwa anatumia, simu yake aliyonipa nitumie ni aina ya Oppo, nilivyoinstall WhatsApp kwenye hii simu nilitumia kama wiki moja hivi, baada ya hapo wakaanza kufungia namba yangu wakinituhumu na masuala ya spam, nikiwatumia malalamiko wanafungua namba yangu ila baada ya dakika kadhaa wananifungia tena, ujumbe unaokuja baada ya kunifungia ni uleule, yaani spam issues, mwisho wa siku wakaifungia namba yangu moja kwa moja.

Sasa jambo la ajabu ni kuwa nilijaribu kujisajili WhatsApp kwa kutumia namba mpya, baada ya dakika moja walinifungia tena. Mpaka sasa nashindwa kuelewa shida ni nini? Ni simu ninayotumia kwasasa au vipi?
 
Kwanini tusiongee kwanza kuhusu wewe kunyang'anywa simu na mke wako, ukatili wa kijinsia sio wa kuupa kisogo hata kidogo..
Kuna sababu kwanini alikupa simu yake, aidha ni device ban, so haijalishi line gani utatumia, pia simu yenyewe inaweza kuwa na virus/malware au modification yoyote inayo compromise security ya device.
 
WhatsApp sijui wana shida gani na mimi?

Mwanzo nilikuwa natumia Iphone, shemeji/wifi yenu akaninyang'anya akanipa simu yake aliyokuwa anatumia, simu yake aliyonipa nitumie ni aina ya Oppo, nilivyoinstall WhatsApp kwenye hii simu nilitumia kama wiki moja hivi, baada ya hapo wakaanza kufungia namba yangu wakinituhumu na masuala ya spam, nikiwatumia malalamiko wanafungua namba yangu ila baada ya dakika kadhaa wananifungia tena, ujumbe unaokuja baada ya kunifungia ni uleule, yaani spam issues, mwisho wa siku wakaifungia namba yangu moja kwa moja.

Sasa jambo la ajabu ni kuwa nilijaribu kujisajili WhatsApp kwa kutumia namba mpya, baada ya dakika moja walinifungia tena. Mpaka sasa nashindwa kuelewa shida ni nini? Ni simu ninayotumia kwasasa au vipi?
Oppo ndo zilivyo yaani kufungiwa wasap kawaida sanaa binafs situmii wasap mm saivi mpaka nibadilisheee simu
 
Kwanza umejidhalilisha ,dume zima unanyang'anywa simu na mkeo unakuja kuanika humu au ulitaka kujimwambafai kuwahi kumiliki iphone? Anyway oppo na whatsup zina uadui mkubwa. Kama uliweza kumiliki iphone utaweza miliki Samsung pia kanunue
 
Kwanza umejidhalilisha ,dume zima unanyang'anywa simu na mkeo unakuja kuanika humu au ulitaka kujimwambafai kuwahi kumiliki iphone? Anyway oppo na whatsup zina uadui mkubwa. Kama uliweza kumiliki iphone utaweza miliki Samsung pia kanunue
Umeongea mambo mengi sana, tena kwa hasira!
Una msongo wa mawazo?
Una maisha magumu sana?
Unapigwa sana na mumeo/bahasha ako?
Asante kwa ushauri wako!
 
WhatsApp sijui wana shida gani na mimi?

Mwanzo nilikuwa natumia Iphone, shemeji/wifi yenu akaninyang'anya akanipa simu yake aliyokuwa anatumia, simu yake aliyonipa nitumie ni aina ya Oppo, nilivyoinstall WhatsApp kwenye hii simu nilitumia kama wiki moja hivi, baada ya hapo wakaanza kufungia namba yangu wakinituhumu na masuala ya spam, nikiwatumia malalamiko wanafungua namba yangu ila baada ya dakika kadhaa wananifungia tena, ujumbe unaokuja baada ya kunifungia ni uleule, yaani spam issues, mwisho wa siku wakaifungia namba yangu moja kwa moja.

Sasa jambo la ajabu ni kuwa nilijaribu kujisajili WhatsApp kwa kutumia namba mpya, baada ya dakika moja walinifungia tena. Mpaka sasa nashindwa kuelewa shida ni nini? Ni simu ninayotumia kwasasa au vipi?
Hapo iyo simu itupe haraka sana itakufia ilo tatizo haliwezi pona
 
Bila shaka anamaanisha ni simu ambazo zilitengenezwa kutumika China na baadaye zikaletwa used kutumika nje ya soko la China.

Mfano, Mimi nina Oppo used from China: inapiga kazi vizuri tu, natumia WhatsApp ila kuna baadhi ya settings na apps zina lugha ya Kichina.

Pia, nina Samsung Galaxy used from Japan, nayo ina apps zenye lugha ya Kijapan.

Haya makampuni ya Asia huwa yanatoa simu matoleo mawili: zinazokuwa soko la Asia na Global. Kwahiyo ukinunua Oppo, Samsung, Xiaomi mpya dulani utakuta ni global version inayoweza kutumika nje ya soko la Asia: mfano, kwenye box Samsung huandikwa "for Africa".

Ila, ukinunua used from Asia utakuta ni zile zilizotumika kwenye soko la Asia. Kwahiyo, kuna ambazo huwa wanazibadilisha ili ziweze kuendelea kutumika kwenye soko la Africa.
Mkuu kwa laki mbili na nusu naweza kupata xiaomi toleo gani zuri??
 
Back
Top Bottom