Unapata wapi nafasi ya kuipenda na kuitetea Serikali?

Unapata wapi nafasi ya kuipenda na kuitetea Serikali?

Hivi unapata wapi nafasi ya kuipenda na kuitetea Serikali ya Wahuni, viongozi wake wabinafsi, watu wenye roho mbaya, watumishi wala rushwa, hii nchi inakoendea vikundi vya waasi vitajitengeneza kutokana na ugumu wa maisha.

Ajira za kujuana hata kama una vigezo hupati. Mfano kuna jamaa baba yake ni RPC katika mkoa flani, alipata division four hakwenda JKT ila yupo JWTZ na alingia mwezi wa mwisho JWTZ na anajisifia.

Matokeo yake jeshi Letu limekuwa dhaifu mfano Kongo na Sudan wanajeshi wanakufa sana kutoka Tanzania hawasemi, Ajira si kama hakuna ila Kupata kazi kama hauna ndugu basi utoe rushwa.

Tanzania Tuchange
Mkuu pole , wanajeshi kufa vitani ni kawaida.
 
Japo ni kweli Serikali ina Wahuni, lakini sio wote!, japo ni kweli baadhi ya viongozi wake wabinafsi, lakini sio wote, selfless leaders wapo kibao, japo kuna baadhi ni watu wenye roho mbaya, lakini kuna wengi wana roho nzuri kuliko hao roho mbaya wachache, na pia ni kweli kuna baadhi ya watumishi wachache wala rushwa lakini wengi ni watumishi safi, waadilifu, weledi na wachapakazi kustahili kupendwa!.

Give a dog a bad name and hang it!.
Uzalendo wa kweli ni kuipenda nchi yako kwa moyo wako wote despite all the odds!.
Uzalendo kwanza!.
P
P
Mkuu naona unajaribu kuchakachua mada lakini ukweli unabaki kuwa ukweli,tunaongozwa na wahuni awamu ya sita!
 
Mkuu naona unajaribu kuchakachua mada lakini ukweli unabaki kuwa ukweli,tunaongozwa na wahuni awamu ya sita!
Huo ndio ukweli wenyewe halisi wa mambo, moja ya kosa langu kubwa humu JF ni kuwa mkweli daima!, kosa hili nitakwenda nalo 6x6!.
P
 
Japo ni kweli Serikali ina Wahuni, lakini sio wote!, japo ni kweli baadhi ya viongozi wake wabinafsi, lakini sio wote, selfless leaders wapo kibao, japo kuna baadhi ni watu wenye roho mbaya, lakini kuna wengi wana roho nzuri kuliko hao roho mbaya wachache, na pia ni kweli kuna baadhi ya watumishi wachache wala rushwa lakini wengi ni watumishi safi, waadilifu, weledi na wachapakazi kustahili kupendwa!.

Give a dog a bad name and hang it!.
Uzalendo wa kweli ni kuipenda nchi yako kwa moyo wako wote despite all the odds!.
Uzalendo kwanza!.

P
Nchi au serikali au vyote ni sawa?

Mada inazungumzia “kuipenda na kuitetea serikali”.

Sasa huu uzalendo wa “kuipenda nchi kwa moyo wako wote” ndiyo ule tunaoutambua au ndio ule wa kikomunisti: nchi=Rais=serikali?
 
Kama jeshi nalo washaanza kulinajisi huo ndio mwanzo wa kuporomoka kwa uimara wake.

Africa aijajifunza chochote kupitia jeshi la Nigeria. Ni moja la jeshi ambalo linatumia hela nyingi kununua silaha za kisasa, lakini ‘Boko-Haram’ tu wamewashindwa.

Tatizo nini? Walipeleka mambo yao ya wahala mpaka jeshini, kuweka watoto wa vigogo, kupandishana ranks bila ya mafunzo ya kivita na sifa sahihi. Matokeo yake maofisa wengi hawakuwa na sifa za kuongoza mapambano ndio sababu za msingi kusumbuliwa na Boko-Haram.

Na Tanzania nako inaelekea huko sasa inavyoonekana kama watu washaanza kupeleka watoto wao huko na kupanda ranks kwa upendeleo.
 
Hatari sana !

Ila siku hizi mods hawapendi nyuzi kama hizi.
mod mkuu yule mhaya ceo wa jf biashara ya kuendesha jf kibiashara ilimshinda akapewa kazi na maza serikalini

sasa jf ni branch ya serikali na ccm

ni pambio tu

na tiss wakikutaka anawapelekea data zako zote unauwawa

jf ni mavi

cha ajabu watadelete hii post yangu,kisa ni FACTS tupu hapa
 
Hivi unapata wapi nafasi ya kuipenda na kuitetea Serikali ya Wahuni, viongozi wake wabinafsi, watu wenye roho mbaya, watumishi wala rushwa, hii nchi inakoendea vikundi vya waasi vitajitengeneza kutokana na ugumu wa maisha.

Ajira za kujuana hata kama una vigezo hupati. Mfano kuna jamaa baba yake ni RPC katika mkoa flani, alipata division four hakwenda JKT ila yupo JWTZ na alingia mwezi wa mwisho JWTZ na anajisifia.

Matokeo yake jeshi Letu limekuwa dhaifu mfano Kongo na Sudan wanajeshi wanakufa sana kutoka Tanzania hawasemi, Ajira si kama hakuna ila Kupata kazi kama hauna ndugu basi utoe rushwa.

Tanzania Tuchange
actually wavivu hawawezi kuacha kulalamika na kudeka
 
Back
Top Bottom