Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Huyu atakuwa sio mwanaume wa .......Lady:ninunulie lunch
Man: una boyfriend?
Lady: yeah, why asking?
Man: umewahi kusikia wafanyakazi wa Vodacom wakilipwa na Airtel ?
[emoji15] [emoji15]
Mwanaume wa nn?Huyu atakuwa sio mwanaume wa .......
Sijasema wa dar ndugu yangu wenye jiji lao wameshacharukaMwanaume wa nn?
Wa mkoani....! Kama Mimi!Mwanaume wa nn?
Sana tu....!Mwanamke uki m treat well hata akiwa na mume.. utamgonga tu.. wana huruma sana hawa viumbe...