Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebwana mie mkewangu aniandalie castle baridi tu..karanga wala!!!
Siyo Heineken au Grolsch??! msosi hupendi andaliwa?
Chai ya viungo haikosi, napenda hio ya karanga ila mahali nilipo karanga nzuri adimu sana... :disapointed:
mie nikimuandalia chai ya rangi yenye hiliki au tangawizi baada ya kuoga maji ya moto najisikia nimempokea kike kwelikweli!yeye nikikuta amewahi japo aniambie pole na kazi tu nakuwa burudani!