<br />Hahaaa umenikumbusha stori flani ya darasa la tatu enzi hizo
gizani utaonaje macho navorembua
Habari wakuu wa jamvi,
Jamani hivi watu wametofautiana sana,unajua kwanini nasema hivyo?utakuta kuna mtu yeye anapenda kulia gizani,yaani giza totoro ndio furaha yake,mwingine yeye anataka angalau candle light,mwingine anataka ale mchana kweupe!au kama ni usiku basi zitawashwa taa zote aone pilipili ilipo,ndizi,sijui ndimu,salad,avocado,maharage,mchicha si unajua wengine wanapenda mamichicha marefuuuu,wengine michicha wala hawataki ,kama watermelon basi ayabebe ayapapase huku na kule kabla ya kuendelea na maakuli.
Lakini mimi nacho jua mkono huwa haukosei mdomo ulipo au mdomo si kazi kutafuta mkono wenye chakula ulipo.
Je wewe wapenda kulia wapi?na kwanini?
Poa ila ile position ndio yenyewe, mtahangaika mweshowe palepaleNahisi wewe wajua position moja tu!!! Halafu macho yako yakilembuka amekwisha yaona wakati anakutongoza!! Pia ujue kwamba binadamu ana sense za namna tano: touch, smell, sight, hearing and taste. Sasa ukikutana na jamaa hana mpango na sight na yuko sana kwenye hearing basi giza ni priority kwake!!
Nahisi wewe wajua position moja tu!!! Halafu macho yako yakilembuka amekwisha yaona wakati anakutongoza!! Pia ujue kwamba binadamu ana sense za namna tano: touch, smell, sight, hearing and taste. Sasa ukikutana na jamaa hana mpango na sight na yuko sana kwenye hearing basi giza ni priority kwake!!
client ni wa kudumu na venue ni mahali tulivu pasipo macho wala masikio ya watuNi vizuri kama ungeweka context yaani ni aina gani ya relationship (wanandoa, wachumba, girlfriend na boyfriend, hit and run business) na chakula kinaliwa wapi (guest, chini ya mti, kwenye shamba la mahindi, kwenye guard -JKT henzi hizo, nk).
Jibu langu ni inategemea na mazingira na aina ya client!!
Want you to see everything, nimependa swaga za huyo mwenye jacket nyekundu
Baba na mamaPosition ipi hiyo mkuu? haha haaaaaaa!
Mwanga kwa mbaali ndio mwake!mwanga sana mtaoneana aibu
maneno yote full mwanga, gizani unaeza kula kilichooza!
Mwanga fulani hivi ili nione reaction na feedback from her face. her facial expression speaks a thousand words. besides zile shanga utaziona vipi gizani? au ukimtuma glass ya maji ili umuangalie anapoenda kuileta.